Humphrey Silvanus
New Member
- Jul 16, 2013
- 3
- 0
Ndugu zangu, watu wengi tunapenda kujiendeleza kimasomo, yaani elimu ya juu. Hivi hakuna organization tofauti na loan board inayotoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo au mtu ambae mtaingia nae mkataba wa kumlipa baada ya masomo up to 100% interest kama akigharamia masomo yako mpaka ukamaliza? Mnisaidie maana mimi ni muhutaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app