Yeah, tatizo watu weusi uongo mwingi mwisho wa siku mnaishia kuumizana😅Kumbe ndo ulivyo? 😒
Mzee wa deliboro akakutoe mafuta 😅😅🤣🤣🤣Jaman jaman.....mbona unatag watu🤒
Unajua kuna kitu kimoja watu huwa hatukijui, once unapokua na love affairs na mtu u get connected to him/her na ni ngumu sana kulifuta hilo.We umesema sasa,watu Ubishi🤒
Kaukalie ivo ivooo.. mafua yapone..Alisema kuoa singlemom Bora afe 😒
Mafua vip yameisha?Kabisa Yaan
Kumkojolea najua ni funga kaziBora ivo kuliko kumkojolea mkuu
Uende hospital pole sanaI feel homa kabisa
GoodPoa vp
2 years ago, nilishawahi sema kitu kama hicho, japo nilibase sana kwetu wanaume Men Talk 4: Mwanaume usitongoze kila mwanamke aliyekaribu na wewe, hata kama anavutia kiasi gani. Some are meant to be just friendsKama una urafiki na mwanaume au mwanamke tafadhali msipeane vitumbua na mihogo....Yaan mkipeana tu mkamwagiana bila malengo ya kuoana ....bas mmeshatengeneza uadui.Ndo maana mnashauriwa hata pahala pa Kaz msiingize mapenz....maana hiyoo ofisi itakuwa chungu kwenu au Kwa mmoja hapo mbeleni.
Maana tukubali tukatae hakuna mahusiano ya kufanya tu yanayodumu.Ndoa tu zinatengeneza uadui sembuse kumwagiana tu Kwa kurefresh mind.
Tudumishe urafiki tusimruhusu shetani akatuvuruga.Nawapenda sana.
NB:Leo nina bafua bakari sana jabani!
🤣Labda watakuelewa wewe mkuu🤒2 years ago, nilishawahi sema kitu kama hicho, japo nilibase sana kwetu wanaume Men Talk 4: Mwanaume usitongoze kila mwanamke aliyekaribu na wewe, hata kama anavutia kiasi gani. Some are meant to be just friends
Ukianzisha tu mahusiano ya kimapenzi na rafiki yako, basi jua umeshampoteza kama rafiki yako