The Family Wallet
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 5,370
- 8,624
Isipopatikana je? Na ikipatikana visiyotarajiwa je?
itakapopatikana inavyo tarajiwa je?
Isipopatikana je? Na ikipatikana visiyotarajiwa je?
Katiba ni mziki mnene inabidi raia wajipange kweli ila tukipata mpindua meza inakuwa ni rahisi hata kupata hiyo katibaHahahaaaa Tuanze na Katiba
Mungu atasaidia atatokea tuKatiba ni mziki mnene inabidi raia wajipange kweli ila tukipata mpindua meza inakuwa ni rahisi hata kupata hiyo katiba
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Soma uelewe, siongelei individuals! Soma uelewe, nachoka kukuelimisha kila sikuKwani huyu DPP wa sasa hivi ni yule yule mlieshangilia kuteuliwa kwake baada ya yule wa JPM kutumbuliwa?
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake. Kafanye kazi ujenge nchi, maana hata US kuna watu wanasemaga maneno kama hayo hivyo angalia usijekufa masikini ukasema ni kwa sababu ya wanasiasa. Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi iwe kwa zuri au baya, na kazi yako ni kufanya kazi.....Kuna siku Tanzania itampata DPP anayeweza kujisimamia
Kuna siku Tanzania itanpata IGP anayejitambua na kutumia akili zake mwenyewe
Kuna siku Tanzania itaongozwa na Mkurugenzi wa TISS mwenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Taiga
Kuna siku Tanzania itampata Msajili wa vyama mwenye akili timamu, anayeijua JD take....
Kuna siku Tanzania itapata bunge linaloweza kuisimamia serikali....
On that day my son, tutakua huru!
Usiku mwema
siku hilo inakujaKuna siku kutakuwepo na kuwajibishwa kwa viongozi watendapo makosa wakiwa madarakani
Hakika ni MANENO MAZITO ya HEKIMA HUWEZI KUWA na VIONGOZI wa AINA HIYO Nchi ikawa ya AMANI na HAKIKuna siku Tanzania itampata DPP anayeweza kujisimamia
Kuna siku Tanzania itanpata IGP anayejitambua na kutumia akili zake mwenyewe
Kuna siku Tanzania itaongozwa na Mkurugenzi wa TISS mwenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Taiga
Kuna siku Tanzania itampata Msajili wa vyama mwenye akili timamu, anayeijua JD take....
Kuna siku Tanzania itapata bunge linaloweza kuisimamia serikali....
On that day my son, tutakua huru!
Usiku mwema
Kwa hiii katiba mbovu sahauKuna siku Tanzania itampata DPP anayeweza kujisimamia
Kuna siku Tanzania itanpata IGP anayejitambua na kutumia akili zake mwenyewe
Kuna siku Tanzania itaongozwa na Mkurugenzi wa TISS mwenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Taifa
Kuna siku Tanzania itampata Msajili wa vyama mwenye akili timamu, anayeijua JD take.
Kuna siku Tanzania itapata bunge linaloweza kuisimamia serikali.
On that day my son, tutakua huru!
Usiku mwema