Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Kuna siku Tanzania itampata DPP anayeweza kujisimamia
Kuna siku Tanzania itanpata IGP anayejitambua na kutumia akili zake mwenyewe
Kuna siku Tanzania itaongozwa na Mkurugenzi wa TISS mwenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Taifa
Kuna siku Tanzania itampata Msajili wa vyama mwenye akili timamu, anayeijua JD take.
Kuna siku Tanzania itapata bunge linaloweza kuisimamia serikali.
On that day my son, tutakua huru!
Usiku mwema
Kuna siku Tanzania itanpata IGP anayejitambua na kutumia akili zake mwenyewe
Kuna siku Tanzania itaongozwa na Mkurugenzi wa TISS mwenye uwezo wa kusimamia maslahi ya Taifa
Kuna siku Tanzania itampata Msajili wa vyama mwenye akili timamu, anayeijua JD take.
Kuna siku Tanzania itapata bunge linaloweza kuisimamia serikali.
On that day my son, tutakua huru!
Usiku mwema