Kuna siku Edward Lowassa anaweza kuwa mgombea Urais kupitia CCM

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Siasa za Tanzania zinabadilika kwa kasi ya ajabu. Hazitabiliki hata kidogo. Magifuli kazibadilisha mpaka zinawachanganya CCM wenyewe mpaka wapinzani.

Kuna wana CCM walikimbia chama chao na kujiunga na upinzani kwa jinsi chama chao kilivyokuwa kikiongozwa.
Cha kushangaza baadhi ya wabunge wameacha ubunge wao na kurudi kwenye chama chao cha zamani. Japo upinzani unadai kuna kununuliwa kwa baadhi yao, lakini kuna cha kujifunza. Mtu kama Pauline Gekuru sikuamini kama angeacha ubunge na kurudi CCM.

Siasa za nchi hii zimebadilika sana. Kuna uwezekano siku zijazo wabunge na wanachama wengi wenye usjawishi ndani ya upinzani wakajiunga na CCM siku zijazo.

Ni kutokana na ukweli huo siku moja sintoshangaa kumwona mzee Edward Lowassa akipewa nafasi ya kugombea urais baada ya Magufuli kuondoka. Hili linawezekana sana kwani tayari njiani zimesha anza kunyoshwa kwani akina Mallya, Mollel, Kalanga, Gekuru, Mtatiro, Kantambi, Mwita, Machali, Kafulila, Professor Kitilya Mkumbo, Anna Mgwira, Kisandu, madiwani wasio na idadi walisharudi kusafisha njia.
Inawezekana kabisa Lowassa, Sumaye na Nyalandu na wengine wengi wakarudi kwao CCM siku wakipewa uhakikisho wa wayatakayo huko CCM.

MAGUFULI kaanza kuonyesha njia kwa kuwateua waliokuwa CCM wakaenda upinzani kisha wakarudi tena nyumbani kwao waliko zaliwa na kukulia CCM.

Kwakuwa Lowassa alizaliwa huko na kukulia huko haitashangaza sana akirudi nyumbani kwao. Mtu akirudi kwao siku zote hupokelewa kwa furaha kubwa hata kama alitoka kwa kuiba, kutukana au kugombana. Nyumba hata kama ina mfugo huchinja ili kumfanya mtoto ajihisi yuko salama.

Kuna kisa kwenye Bible sikikumbuki vema cha mwana mpotevu alivyorudi na kufanyiwa sherehe kubwa mpaka mtoto mtiifu kwa baba yake akajisikia vibaya kwa kutopewa thamani kama yule mtoto mtukutu.

Ndio maana kwa kadhia hii kuna CCM asilia na kindakindaki wanajiskia vibaya sana kuona akina Mwita et al wakipewa vyeo pamoja na usaliti wao waliounyesha kwa kukihama chama na kukinanga vibaya sana wakati wakiwa upinzani.

Siasa ni game kama game zingine hivyo usiweke mapenzi ya kudumu huko kwa wanasiasa kwani kuna siku watakishangaza mpaka utaumwa. Hawaaminiki hata sekunde moja.

THEY TALK THE TALK BUT DON'T WALK THE TALK.

IN POLITICS TRUST NO BODY AND SUSPECT EVERY BODY.
 

Yani mimi mtu akishashindwa kuandika majina ya watu kwa usahihi inanipaga shida sana kumuelewa na kumsoma kwa makini.
 
Lowasa amejitengenezea historia nzuri 2015. Nafikiri ukiangalia na umri wake, hata yeye karidhika ndo maana alisema kuweni watulivu. Kurudi jukwaani baada ya magufuli ni kurisk kustaafu siasa kwa heshima. Lakini siasa ni siasa zina maajabu yake.
 
Siasa za Tanzania zinabadilika kwa kasi ya ajabu. Hazitabiliki hata kidogo. Magifuli kazibadilisha mpaka zinawachanganya CCM wenyewe mpaka wapinzani.

Kuna wana CCM walikimbia chama chao na kujiunga na upinzani kwa jinsi chama chao kilivyokuwa kikiongozwa.
Cha kushangaza baadhi ya wabunge wameacha ubunge wao na kurudi kwenye chama chao cha zamani. Japo upinzani unadai kuna kununuliwa kwa baadhi yao, lakini kuna cha kujifunza. Mtu kama Pauline Gekuru sikuamini kama angeacha ubunge na kurudi CCM.

Siasa za nchi hii zimebadilika sana. Kuna uwezekano siku zijazo wabunge na wanachama wengi wenye usjawishi ndani ya upinzani wakajiunga na CCM siku zijazo.

Ni kutokana na ukweli huo siku moja sintoshangaa kumwona mzee Edward Lowassa akipewa nafasi ya kugombea urais baada ya Magufuli kuondoka. Hili linawezekana sana kwani tayari njiani zimesha anza kunyoshwa kwani akina Mallya, Mollel, Kalanga, Gekuru, Mtatiro, Kantambi, Mwita, Machali, Kafulila, Professor Kitilya Mkumbo, Anna Mgwira, Kisandu, madiwani wasio na idadi walisharudi kusafisha njia.
Inawezekana kabisa Lowassa, Sumaye na Nyalandu na wengine wengi wakarudi kwao CCM siku wakipewa uhakikisho wa wayatakayo huko CCM.

MAGUFULI kaanza kuonyesha njia kwa kuwateua waliokuwa CCM wakaenda upinzani kisha wakarudi tena nyumbani kwao waliko zaliwa na kukulia CCM.

Kwakuwa Lowassa alizaliwa huko na kukulia huko haitashangaza sana akirudi nyumbani kwao. Mtu akirudi kwao siku zote hupokelewa kwa furaha kubwa hata kama alitoka kwa kuiba, kutukana au kugombana. Nyumba hata kama ina mfugo huchinja ili kumfanya mtoto ajihisi yuko salama.

Kuna kisa kwenye Bible sikikumbuki vema cha mwana mpotevu alivyorudi na kufanyiwa sherehe kubwa mpaka mtoto mtiifu kwa baba yake akajisikia vibaya kwa kutopewa thamani kama yule mtoto mtukutu.

Ndio maana kwa kadhia hii kuna CCM asilia na kindakindaki wanajiskia vibaya sana kuona akina Mwita et al wakipewa vyeo pamoja na usaliti wao waliounyesha kwa kukihama chama na kukinanga vibaya sana wakati wakiwa upinzani.

Siasa ni game kama game zingine hivyo usiweke mapenzi ya kudumu huko kwa wanasiasa kwani kuna siku watakishangaza mpaka utaumwa. Hawaaminiki hata sekunde moja.

THEY TALK THE TALK BUT DON'T WALK THE TALK.

IN POLITICS TRUST NO BODY AND SUSPECT EVERY BODY.
Naona move imeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee amechoka sana lakini yawezekana ni aina ya watu ambao huwa hawakubali kuwa wameshakuwa wachovu. Usishangae 2025 akachukua form kugombea urais na wanyonge 'wadanganyika' wanaweza kumpatia hata kama atakuwa anakwenda kwa mkongojo! Dunia yetu haiishi maajabu hasa katika siasa!
 
Keshachoka mzee wa watu tumwache apumzike!
Ila yeye hajui kama alishachoka, na tamaa ya kugombea urais kwake bado ipo pale pale! Ila anachojifanya kusahau ni ile kauli ya "mtu mmoja" kuwa mtu wa namna yake kwa aliyoyafanya ni kama "NG'OMBE ALIYEKATWA MKIA" Haiwezekani chama kisimamishe mgombea wa urais mwenye sifa ya ng'ombe aliyekatwa mkia! Kwa hilo asahau!!!! Ndoto yake ya kuwa rais ilishaingia mchanga!! Ajilaumu mwenyewe!!!!
 
Hatakaa apate hiyo nafasi huko ccm. Saa hii Magufuli kamgeuza mdoli amemtuma eti kwenda kuhamisha kura zake upinzani. Mzee wa watu hana jinsi, anaangalia nafasi aliyoitaka, leo anageuzwa mtumwa akamtafutie mtu hiyo nafasi anayoitaka. Ni kama unamtaka mwanamke unayempenda sana, kisha anatokea mtu na nguvu zake anakugeuza Kuwadi ukamuitie huyo huyo mwanake kipenzi chako! Kweli kumiliki mali za kifisadi ni shida kubwa.
 
Siasa za Tanzania zinabadilika kwa kasi ya ajabu. Hazitabiliki hata kidogo. Magifuli kazibadilisha mpaka zinawachanganya CCM wenyewe mpaka wapinzani.

Kuna wana CCM walikimbia chama chao na kujiunga na upinzani kwa jinsi chama chao kilivyokuwa kikiongozwa.
Cha kushangaza baadhi ya wabunge wameacha ubunge wao na kurudi kwenye chama chao cha zamani. Japo upinzani unadai kuna kununuliwa kwa baadhi yao, lakini kuna cha kujifunza. Mtu kama Pauline Gekuru sikuamini kama angeacha ubunge na kurudi CCM.

Siasa za nchi hii zimebadilika sana. Kuna uwezekano siku zijazo wabunge na wanachama wengi wenye usjawishi ndani ya upinzani wakajiunga na CCM siku zijazo.

Ni kutokana na ukweli huo siku moja sintoshangaa kumwona mzee Edward Lowassa akipewa nafasi ya kugombea urais baada ya Magufuli kuondoka. Hili linawezekana sana kwani tayari njiani zimesha anza kunyoshwa kwani akina Mallya, Mollel, Kalanga, Gekuru, Mtatiro, Kantambi, Mwita, Machali, Kafulila, Professor Kitilya Mkumbo, Anna Mgwira, Kisandu, madiwani wasio na idadi walisharudi kusafisha njia.
Inawezekana kabisa Lowassa, Sumaye na Nyalandu na wengine wengi wakarudi kwao CCM siku wakipewa uhakikisho wa wayatakayo huko CCM.

MAGUFULI kaanza kuonyesha njia kwa kuwateua waliokuwa CCM wakaenda upinzani kisha wakarudi tena nyumbani kwao waliko zaliwa na kukulia CCM.

Kwakuwa Lowassa alizaliwa huko na kukulia huko haitashangaza sana akirudi nyumbani kwao. Mtu akirudi kwao siku zote hupokelewa kwa furaha kubwa hata kama alitoka kwa kuiba, kutukana au kugombana. Nyumba hata kama ina mfugo huchinja ili kumfanya mtoto ajihisi yuko salama.

Kuna kisa kwenye Bible sikikumbuki vema cha mwana mpotevu alivyorudi na kufanyiwa sherehe kubwa mpaka mtoto mtiifu kwa baba yake akajisikia vibaya kwa kutopewa thamani kama yule mtoto mtukutu.

Ndio maana kwa kadhia hii kuna CCM asilia na kindakindaki wanajiskia vibaya sana kuona akina Mwita et al wakipewa vyeo pamoja na usaliti wao waliounyesha kwa kukihama chama na kukinanga vibaya sana wakati wakiwa upinzani.

Siasa ni game kama game zingine hivyo usiweke mapenzi ya kudumu huko kwa wanasiasa kwani kuna siku watakishangaza mpaka utaumwa. Hawaaminiki hata sekunde moja.

THEY TALK THE TALK BUT DON'T WALK THE TALK.

IN POLITICS TRUST NO BODY AND SUSPECT EVERY BODY.

Lowassa amerudi kwa ajili ya kuwasaidia wa-Tanzania kuamua namna watakavyopiga kura mwakani, na kuwaondolea kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi huo, ili wa-Tanzania wazalendo waendelee kujikita kwenye shughuli za maendeleo tu huku wakisubiri kinyang'anyiro cha uchaguzi mwingine wa mwaka 2025. Uchaguzi wa mwakani tayari huo umeshamalizika, Lowassa kaumaliza, zimebaki procedures tu kwa ajili ya kuukamilisha!
 
Siasa za Tanzania zinabadilika kwa kasi ya ajabu. Hazitabiliki hata kidogo. Magifuli kazibadilisha mpaka zinawachanganya CCM wenyewe mpaka wapinzani.

Kuna wana CCM walikimbia chama chao na kujiunga na upinzani kwa jinsi chama chao kilivyokuwa kikiongozwa.
Cha kushangaza baadhi ya wabunge wameacha ubunge wao na kurudi kwenye chama chao cha zamani. Japo upinzani unadai kuna kununuliwa kwa baadhi yao, lakini kuna cha kujifunza. Mtu kama Pauline Gekuru sikuamini kama angeacha ubunge na kurudi CCM.

Siasa za nchi hii zimebadilika sana. Kuna uwezekano siku zijazo wabunge na wanachama wengi wenye usjawishi ndani ya upinzani wakajiunga na CCM siku zijazo.

Ni kutokana na ukweli huo siku moja sintoshangaa kumwona mzee Edward Lowassa akipewa nafasi ya kugombea urais baada ya Magufuli kuondoka. Hili linawezekana sana kwani tayari njiani zimesha anza kunyoshwa kwani akina Mallya, Mollel, Kalanga, Gekuru, Mtatiro, Kantambi, Mwita, Machali, Kafulila, Professor Kitilya Mkumbo, Anna Mgwira, Kisandu, madiwani wasio na idadi walisharudi kusafisha njia.
Inawezekana kabisa Lowassa, Sumaye na Nyalandu na wengine wengi wakarudi kwao CCM siku wakipewa uhakikisho wa wayatakayo huko CCM.

MAGUFULI kaanza kuonyesha njia kwa kuwateua waliokuwa CCM wakaenda upinzani kisha wakarudi tena nyumbani kwao waliko zaliwa na kukulia CCM.

Kwakuwa Lowassa alizaliwa huko na kukulia huko haitashangaza sana akirudi nyumbani kwao. Mtu akirudi kwao siku zote hupokelewa kwa furaha kubwa hata kama alitoka kwa kuiba, kutukana au kugombana. Nyumba hata kama ina mfugo huchinja ili kumfanya mtoto ajihisi yuko salama.

Kuna kisa kwenye Bible sikikumbuki vema cha mwana mpotevu alivyorudi na kufanyiwa sherehe kubwa mpaka mtoto mtiifu kwa baba yake akajisikia vibaya kwa kutopewa thamani kama yule mtoto mtukutu.

Ndio maana kwa kadhia hii kuna CCM asilia na kindakindaki wanajiskia vibaya sana kuona akina Mwita et al wakipewa vyeo pamoja na usaliti wao waliounyesha kwa kukihama chama na kukinanga vibaya sana wakati wakiwa upinzani.

Siasa ni game kama game zingine hivyo usiweke mapenzi ya kudumu huko kwa wanasiasa kwani kuna siku watakishangaza mpaka utaumwa. Hawaaminiki hata sekunde moja.

THEY TALK THE TALK BUT DON'T WALK THE TALK.

IN POLITICS TRUST NO BODY AND SUSPECT EVERY BODY.

Lowassa amerudi kwa ajili ya kuwasaidia wa-Tanzania kuamua namna watakavyopiga kura mwakani, na kuwaondolea kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi huo, ili wa-Tanzania wazalendo waendelee kujikita kwenye shughuli za maendeleo tu huku wakisubiri kinyang'anyiro cha uchaguzi mwingine wa mwaka 2025. Uchaguzi wa mwakani tayari huo umeshamalizika, Lowassa kaumaliza, zimebaki procedures tu kwa ajili ya kuukamilisha!
 
Ingewezekana.Lakini kwa sasa Umri,afya ,nguvu kiutendaji sio za Lowasa yule.Hata yeye analijua hilo na amelikubali na nina imani atakuwa miongoni mwa washauri na watu wanaosikilizwa ndani ya chama kama akina mzee Malecela.Atakaa na kutulia na kufanya mambo yake vizuri bila bughudha na familia yake.Nadhani anejitathmini akagundua kuwa heshima aliyojijengea miaka yote inapotea hivihivi kisa urais tu ? akakata shauri na bahati nzuri amepokelewa.
Kwako Mhe. Sumaye.Na wewe rudi nyumbani kwani dizaini za siasa za mapambano za hao vijana hazikufai.Ulilelewa vizuri na ukiwa na mdomo ambao hauwezi hata kutukana.Rudi ukae vizuri ufanye mambo yako kwa salama na amani kwani kwa siasa zilivyo sasa hivi hata wewe siyo rahisi tena kuwa rais kwani najua hilo ndiyo linawaumiza.Rudi tu utulie ufanye mambo yako kwa salama,utulivu na amani.
 
Back
Top Bottom