kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Wengi wapi lumumba
Wapuuzi wajinga wasiojua chochote makanjanja ndio hujisifu hivi.Utamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
Hao ni matepeli wa Green Guard UVCCM
Hivi kesi yake iliishaga???Jerry huyuhuyu aliyetspeli millioni 10 na pingu zake?
Ngoja wakusikieUvccm wote huwa wanajifanya ni usalama wa taifa ili wanywe viroba bure
Ohooooo ngoja aone...Kuna member humu anaitwa gentamanini sijui . ..anajifanyaga ni mtu wa "system" ..
Yeriko manyerere nae ni UVCCM??Uvccm wote huwa wanajifanya ni usalama wa taifa ili wanywe viroba bure