Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
..ulivyojipodoa hivyo we mtoto lazima utakuwa bwabwa nazi 8!We upo Congo???
..ulivyojipodoa hivyo we mtoto lazima utakuwa bwabwa nazi 8!We upo Congo???
Kila mtanzania anawajibika kwausalama wa nchi yake..! Hivyo wote tu usalama wa taifa anayebisha mimi ni USALAMA..!Utamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
hahahaha hao nawatamani sana kukutana nao unawachapa makofi alafu wanaishia kunung'unika tuKuna wengine ukipishana kauli utamskia anasema "Unajua unaongea na nani mimi si mtu wa kawaida, sisi ndio wenye nchi utapotea sasa hivi "
Tulia kijana tupake dawa kidonda japo kinauma ila hakuna namna ni lazima upate tiba pamoja na povu lote bado tutazidi kukutibu maana tukikuacha hivi madhara yake ni makubwa sana kuwa mvumilivuSiku zote ' Mwanaume ' aliyekubikiri ni vigumu sana kumsahau na ni lazima tu kila mara jina lake litakuwa karibu Kwako huku kila mara ukipenda kumtajataja na kumfuatilia kwa kila anachokifanya hata kama Wewe umeolewa na Mwanaume mwingine na Yeye pia Kaoa Mwanamke mwingine.
Ngojera zako wapelekee huko wavidole juu wenzioSiku zote ' Mwanaume ' aliyekubikiri ni vigumu sana kumsahau na ni lazima tu kila mara jina lake litakuwa karibu Kwako huku kila mara ukipenda kumtajataja na kumfuatilia kwa kila anachokifanya hata kama Wewe umeolewa na Mwanaume mwingine na Yeye pia Kaoa Mwanamke mwingine.
System ya maji taka .Utamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
Utamweza huyu galasha tu hamna kitu tutamvalisha sketi mda si mrefuSystem ya maji taka .
Hana lolote yule GENTAMYCINE ni jobless tu
Tena ni mkimbizi hahahaHana lolote yule GENTAMYCINE ni jobless tu
Si unajuwa tena maccm kwa kubebana? Na isitoshe Yanga ni team ya ikulu na magogoni alikuwepo mkwele shabiki nguli na mwanachama wa Yanga.Hivi kesi yake iliishaga???
Mkuuu ulijuajeSi unajuwa tena maccm kwa kubebana? Na isitoshe Yanga ni team ya ikulu na magogoni alikuwepo mkwele shabiki nguli na mwanachama wa Yanga.
Huyu dawa yake ni Malcom LumumbaHuyo ni mwepesi kama toilet paper
Eeeeh bwana hapo ndio nakukubali Genta kwa vitisho vyako vya mwendo kasi... Una mikwara kama ya zena na betina....Kabla sijaja na majibu ambayo najua na nina uhakika wa 100% kuwa yatakuumiza na kukutesa mno ' Kisaikolojia ' naomba ili kuthibitisha haya ' madai ' yako uniwekee hapa ' ushahidi ' wako wote wa Kimaelezo kwamba kuna siku Mimi nimewahi kusema au kujitangaza au kujitapa humu JF kama ni Muajiriwa wa ' System '. Nasubiri huo ushahidi kisha baada ya hapo sasa nitakupa kile ulichokuwa ukikitaka kutoka Kwangu ili siku nyingine uiheshimu na ukae mbali kabisa na hii ID. Huwa nawapenda mno Watu kama nyie ambao huwa ' mnawashwawashwa ' na GENTAMYCINE na bahati nzuri leo umejiingiza mwenyewe katika ' Frame '.