Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 5,666
- 11,123
Inakuwaje mtu ambae sio medical professional kupewa majukumu ya kuongoza wizara nyeti ya afya? Na hii inatokea kwenye wizara nyingi tuu na matokeo yake ndio kama haya...
Mnakera na kutia aibu asee
Mnakera na kutia aibu asee