Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 625
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tatizo litakuwa ni nini hasa nikianza mazoezi ya kukimbia (jogging) napata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya kiuno nikitembea inakuwa kawaida hakuna maumivu.
Hii imetokea baada ya kuacha mazoezi muda mrefu.
Tatizo litakuwa ni nini hasa nikianza mazoezi ya kukimbia (jogging) napata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya kiuno nikitembea inakuwa kawaida hakuna maumivu.
Hii imetokea baada ya kuacha mazoezi muda mrefu.