Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,990
Si umshauri nanili mwenzioushaur ni muhim muda mwingne kulko kukurupuka
Si umshauri nanili mwenzioushaur ni muhim muda mwingne kulko kukurupuka
tabia yake akilewa mfano akilewa anafanya mambo ya ajabu na aibu huyu hapanaa.inategemeana na nini mkuu
asante mkuutabia yake akilewa mfano akilewa anafanya mambo ya ajabu na aibu huyu hapanaa.
ila kuna wale hata kama ni mlevi ila anajiheshimu na anawaheshimu na wengine pia na anasimamia majukumu yake huyu ni sahihi japo ni wachache sana.
Na kama unampenda na yeye anakupenda unaweza ukambadilisha akapunguza au akaacha kabisa ulevi
Je ni sahihi mwanamke kuolewa na mlevihabarin wanajamvi.
je ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Kama Mimi si mlevi nitaanzaje kuoa mwanamke mlevi
hahhahahOa tu mkuu kichwa cha chini hakilewi utamu uko palepale
Angalia level ya IQ yetu sisi watanzania mpaka mungu anatuonea hurumaSio lazima ujibu kila kitu humu.
Yaani kama jambo hili dogo unashindwa kukaa kimya ama kujua kipi sahihi kujibu basi IQ yako ndogo sana.
M nmekosa hata cha kumwambiaYaani kama jambo hili dogo unashindwa kulitatua ama kujua kipi sahihi basi IQ yako ndogo sana,
Sio lazima uulize kila kitu humu, hicho kitu simple sana Fanya maamuzi mwenyewe.
Hahaaa! Atarudisha karata mapemaaaM nmekosa hata cha kumwambia
Cha kuongeza tu hapa n kuwa
Akitaka kujua shda inakua wap
Amuoe af jamaa awe co mlev
HahahaWewe unaoa mwanamke mwenye kichwa kichafu