Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,928
- 2,319
Habari wanajamvi.
Je, ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Je, ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Hapana, si sahihi kabisa.habarin wanajamvi.
je ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Jee ni sahihi kuolewa na mwanaume mlevi?habarin wanajamvi.
je ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Sio lazima ujibu kila kitu humu.Yaani kama jambo hili dogo unashindwa kulitatua ama kujua kipi sahihi basi IQ yako ndogo sana,
Sio lazima uulize kila kitu humu, hicho kitu simple sana Fanya maamuzi mwenyewe.
habarin wanajamvi.
je ni sahihi kuoa mwanamke mlevi?
Lazima nikuchane tu, yaani ni sawa kuuliza kwamba je, ni sahihi kujisaidia sebuleni wakati we ni MTU mzima na akili timamuSio lazima ujibu kila kitu humu.
Yaani kama jambo hili dogo unashindwa kukaa kimya ama kujua kipi sahihi kujibu basi IQ yako ndogo sana.
yaaap mkuuSijaelewa yani yeye analewa lakini wewe hulewi au ?
inategemeana na nini mkuuinategemea.
ushaur ni muhim muda mwingne kulko kukurupukaYaani kama jambo hili dogo unashindwa kulitatua ama kujua kipi sahihi basi IQ yako ndogo sana,
Sio lazima uulize kila kitu humu, hicho kitu simple sana Fanya maamuzi mwenyewe.
pombeSalamu.
Ulevi ni dhana pana sana. Jaribu ku-specify, ulevi haswa katika nini?.
asante kwa kumjibSio lazima ujibu kila kitu humu.
Yaani kama jambo hili dogo unashindwa kukaa kimya ama kujua kipi sahihi kujibu basi IQ yako ndogo sana.