Kuna shida gani katika institutions za nchi yetu.

mhanila1

JF-Expert Member
Dec 15, 2017
1,042
1,454
Wanabodi, napata shida sana na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Katika nchi yetu kuna shida gani kubwa inayopelekea institutions ambazo zipo kisheria kushindwa kusimamia sheria.

Nchi Jirani kama hapo uganda tunasikia vyombo vya habari vimekataa kutangaza habari za kumpendelea Rais Mseveni vikisema kufanya hivyo wakati wa uchaguzi ni kukiuka sheria, Jana tumesikia tume ya uchaguzi ya Uganda imelionya jeshi la polisi kutowazuia wagombea wa upinzani kufanya kampeni.

Hapo Kenya tulisikia mahakama imefuta matokeo ya uchaguzi wa Rais, Malawi tulisikia Mahakama imesema mpinzani ameshinda uchaguzi.

Hivi hizi institutions za Tanzania zina mapungufu gani hasa, hawa wateule wanaongoza hizo tasisi wanazo sifa kweli za kusimamia sheria sawasawa na walivoapishwa.

Haya yaliyokea kwa wabunge wa chadema yanaashitia nini kuhusu uadilifu wa taasisi zetu hizi, nini hasa msingi wa hayo yote. Ninaomba wajuzi wa mambo haya watudadambulie tuweze kuelewa kuna tatizo gani.

Inakuwaje spika anaapisha wabunge nje ya ukumbi wa bunge kinyume na katiba yetu ambayo ameapa kuilinda. Kwani hatuna vyombo vyenye mamlaka ya kulinda katiba yetu ili viweze kuchukua hatua kwa kukiukwa katiba mchana kweupe kabisa.

Sisi watanzania wa kawaida hatuelewi kumetokea nini sasa hivi. Wote tumeona polisi wakiwa wameshika mabegi ya kura za wizi, hivi karibu wakati wa uchaguzi wameishia wapi wale waliokuwa na yale mabegi. Kuna shida gani hasa katika hiki chombo kinachoitwa jeshi la polisi.

Kwanini halisimamii sheria kama inavotakiwa.mifano iko mingi ya kutosimamia sheria, kuna tatizo gani kama IGP amekula kiapo cha kulinda katiba na sheria za nchi, kwanini hayo ya nafanyika na hachukuwi hatua zozote.

Naomba kutoa hoja

Muhanila
 
Wanabodi, napata shida sana na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Katika nchi yetu kuna shida gani kubwa inayopelekea institutions ambazo zipo kisheria kushindwa kusimamia sheria.

Nchi Jirani kama hapo uganda tunasikia vyombo vya habari vimekataa kutangaza habari za kumpendelea Rais Mseveni vikisema kufanya hivyo wakati wa uchaguzi ni kukiuka sheria, Jana tumesikia tume ya uchaguzi ya Uganda imelionya jeshi la polisi kutowazuia wagombea wa upinzani kufanya kampeni.

Hapo Kenya tulisikia mahakama imefuta matokeo ya uchaguzi wa Rais, Malawi tulisikia Mahakama imesema mpinzani ameshinda uchaguzi.

Hivi hizi institutions za Tanzania zina mapungufu gani hasa, hawa wateule wanaongoza hizo tasisi wanazo sifa kweli za kusimamia sheria sawasawa na walivoapishwa.

Haya yaliyokea kwa wabunge wa chadema yanaashitia nini kuhusu uadilifu wa taasisi zetu hizi, nini hasa msingi wa hayo yote. Ninaomba wajuzi wa mambo haya watudadambulie tuweze kuelewa kuna tatizo gani.

Inakuwaje spika anaapisha wabunge nje ya ukumbi wa bunge kinyume na katiba yetu ambayo ameapa kuilinda. Kwani hatuna vyombo vyenye mamlaka ya kulinda katiba yetu ili viweze kuchukua hatua kwa kukiukwa katiba mchana kweupe kabisa.

Sisi watanzania wa kawaida hatuelewi kumetokea nini sasa hivi. Wote tumeona polisi wakiwa wameshika mabegi ya kura za wizi, hivi karibu wakati wa uchaguzi wameishia wapi wale waliokuwa na yale mabegi. Kuna shida gani hasa katika hiki chombo kinachoitwa jeshi la polisi.

Kwanini halisimamii sheria kama inavotakiwa.mifano iko mingi ya kutosimamia sheria, kuna tatizo gani kama IGP amekula kiapo cha kulinda katiba na sheria za nchi, kwanini hayo ya nafanyika na hachukuwi hatua zozote.

Naomba kutoa hoja

Muhanila
Hapa ni Ujinga mtupu, jamaa anaongoza nchi kwa style ya Kamuzu Banda na Mobutu, Shenzy kabisa
 
Mpaka siku (sijui itakuw alini) Watanzania wenyewe watakapoamua kuchukuwa madaraka yao. Kwa sasa madaraka yako NECCM, polisi, JW na TISS.
 
Akili yako imeshindwa kabisa kukwambia kwamba tatizo nikatiba
Raisi anateua kila mtu kila mahali wote wenye mamlaka ya hayo ni wateule wa rais sidhani hizo nchi nyingine lakini Tanzania kwa ujumla katiba ni mbovu sana
 
Wanabodi, napata shida sana na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Katika nchi yetu kuna shida gani kubwa inayopelekea institutions ambazo zipo kisheria kushindwa kusimamia sheria.

Nchi Jirani kama hapo uganda tunasikia vyombo vya habari vimekataa kutangaza habari za kumpendelea Rais Mseveni vikisema kufanya hivyo wakati wa uchaguzi ni kukiuka sheria, Jana tumesikia tume ya uchaguzi ya Uganda imelionya jeshi la polisi kutowazuia wagombea wa upinzani kufanya kampeni.

Hapo Kenya tulisikia mahakama imefuta matokeo ya uchaguzi wa Rais, Malawi tulisikia Mahakama imesema mpinzani ameshinda uchaguzi.

Hivi hizi institutions za Tanzania zina mapungufu gani hasa, hawa wateule wanaongoza hizo tasisi wanazo sifa kweli za kusimamia sheria sawasawa na walivoapishwa.

Haya yaliyokea kwa wabunge wa chadema yanaashitia nini kuhusu uadilifu wa taasisi zetu hizi, nini hasa msingi wa hayo yote. Ninaomba wajuzi wa mambo haya watudadambulie tuweze kuelewa kuna tatizo gani.

Inakuwaje spika anaapisha wabunge nje ya ukumbi wa bunge kinyume na katiba yetu ambayo ameapa kuilinda. Kwani hatuna vyombo vyenye mamlaka ya kulinda katiba yetu ili viweze kuchukua hatua kwa kukiukwa katiba mchana kweupe kabisa.

Sisi watanzania wa kawaida hatuelewi kumetokea nini sasa hivi. Wote tumeona polisi wakiwa wameshika mabegi ya kura za wizi, hivi karibu wakati wa uchaguzi wameishia wapi wale waliokuwa na yale mabegi. Kuna shida gani hasa katika hiki chombo kinachoitwa jeshi la polisi.

Kwanini halisimamii sheria kama inavotakiwa.mifano iko mingi ya kutosimamia sheria, kuna tatizo gani kama IGP amekula kiapo cha kulinda katiba na sheria za nchi, kwanini hayo ya nafanyika na hachukuwi hatua zozote.

Naomba kutoa hoja

Muhanila
Shida kubwa ni kutojiamini na uoga viongozi wengi wa Taasisi za Umma hapa nchni wanaishi kwa kujipendekeza kwa waliowapa nyadhifa
 
Tatizo hili hapa,ni udikteta uchwara!
87659087.jpg
 
Nadhani tatizo ni maadili.Kama taifa hatuna maadili wala tunu za kitaifa.

Unakuta mtu anajua fika anachofanya au kufanyiwa hachukui hatua. Na yuko tayari hata kusaidia ubatili ili mradi mambo/nafsi yake yaende.

Mitaala yetu haina somo la maadili.Rushwa na vitendo vingine vinatajwa tu kuwa ni adui wa haki lakini dhamira ya dhati ya kupambana nayo haipo.Tunaipiga vita ya mdomoni tu vitendo tofauti.
Mtumishi akiwa mwadilifu kazini na akachukua miaka kupata hata kibanda cha makazi kwa miaka 5 au zaidi anachekwa kuwa kazubaa.Anayesifiwa na kupigiwa chapuo ni mwizi,mla rushwa na maovu mengine anayepata mafanikio haraka (nyumba,gari,miradi n.k) bila kujiuliza kapataje ndani ya muda mfupi!

TANGU RAIA WA KAWAIDA HADI VIONGOZI WAKUU NI WALE WALE. POROJO ZA KUPAMBANA NA RUSHWA NI USANII USIO NA TIJA KWANI USHAHIDI UKO WAZI KUWA "DOLA" KWA SASA NDIYO KINARA WA KUTOA RUSHWA. KUNUNUA WABUNGE WA UPINZANI,KUTOA VYEO KIMKAKATI,KUPELEKA MIRADI YA MAENDELEO KWA UPENDELEO,N.K NI KAMA VILE ADA YA KILA SIKU.

Ndiyo maana licha ya ukiukwaji mkubwa na wa wazi wa Katiba unaofanywa na viongozi mbali mbali hauonekani kama ni tatizo bali unapongezwa kuwa "uimara".Hali imekuwa mbaya zaidi kipindi hiki cha utawala wa magufuli anayeamini ktk maguvu.Katiba kwake ni sawa na sheria za familia ambazo wanaotakiwa kuzitii ni watoto tu. Vinginevyo tungesikia makelele dhidi ya ndugai kumrudisha mwambe Bungeni isivyo halali,magufuli kupiga marufuku shughuli za vyama vya siasa bila msingi wa sheria,mahakama zingekuwa zinatoa maamuzi yenye kulinda sheria,Katiba,haki na utu wa raia dhidi ya uonevu wa dola.

Yote hayo yanawezekana kwa vile hatuna kioo cha kujitizama kama tupo ktk njia sahihi kimaadili kama Taifa.
 
Back
Top Bottom