Wakuu,
Hivi kuna sheria/utaratibu au mfumo wa Mahakama zetu kutoa nakala za hukumu mbalimbali kwa wananchi iwapo wataonyesha kuziitaji?
Kama ndiyo,kuna ada yeyote inayolipwa kwa karani ili kuzipata?
Asanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.