Kuna sheikh nilimuona akila mbuzi katoliki Mwenge!

Kuna sheikh nilimuona akila mbuzi katoliki Mwenge!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,127
Reaction score
24,429
Hawa watu wa Baraza la... hawaaminiki ndo maana tunasema sio wawakilishi wa waislam na wapuuzwe.

Nakumbuka ilikua mwaka 2020 kuna Sheikh mmoja mkubwa wa Baraza... na maarufu nilimuona akila Mbuzi katoliki live.

Niliduwaa sana ila nikasanuliwa pale ni mteja wao kindakindaki kwa miaka mingi tu, na huyo jamaa ni mjumbe wa kamati flan za kudeal na amani kama wanavyojinasibu na aliwahi kugombana na dada mmoja wa Mantoni miaka ya Nyuma hope mshaelewa Code!!

Hii nchi ina mambo mengi ya ajabu mbali na kula kitimoto hivi ukiambia Bibiye ni mlevi wa kutupwa unaweza usiamini mwanzo nilidhani ni hadithi tu lakini nikaja kuthibitishiwa na mtu wa cycle yake niliishiwa Pawa.
 
Hawa wenzetu wana ubongo wa bata
Yaani hawali kitimoto ila wanashabikia ngamia( punda)
 
Mimi sishabikii maandamano wala mauaji ila kumsingizia mtu uongo ni vibaya ndugu
Usipende kufurahisha jamii kwa uongo kwa makosa ya wengine

Mbele ya Mungu siku ya kiama utatakikana ushahidi je utaweza kuutoa?
 
Mimi sishabikii maandamano wala mauaji ila kumsingizia mtu uongo ni vibaya ndugu
Usipende kufurahisha jamii kwa uongo kwa makosa ya wengine

Mbele ya Mungu siku ya kiama utatakikana ushahidi je utaweza kuutoa?
Hasingiziwi mtu hapa
 
Hawa watu wa Baraza la... hawaaminiki ndo maana tunasema sio wawakilishi wa waislam na wapuuzwe.

Nakumbuka ilikua mwaka 2020 kuna Sheikh mmoja mkubwa wa Baraza... na maarufu nilimuona akila Mbuzi katoliki live.

Niliduwaa sana ila nikasanuliwa pale ni mteja wao kindakindaki kwa miaka mingi tu, na huyo jamaa ni mjumbe wa kamati flan za kudeal na amani kama wanavyojinasibu na aliwahi kugombana na dada mmoja wa Mantoni miaka ya Nyuma hope mshaelewa Code!!

Hii nchi ina mambo mengi ya ajabu mbali na kula kitimoto hivi ukiambia Bibiye ni mlevi wa kutupwa unaweza usiamini mwanzo nilidhani ni hadithi tu lakini nikaja kuthibitishiwa na mtu wa cycle yake niliishiwa Pawa.
Kuna mazingira yanaruhu kutengua uharamu kwa muda
 
... kuna ASKOFU alikua na vimada mji mzima japo haruhusiwi kuoa na Imani yake!
1763660593319.jpeg
 
Nakumbuka tumekula kitimoto sana na hawa jamaa, khamis,mody,Aziz,, Habib,hillary yaani ni ile hata hujapanga hao washakuja mkale mdudu.
Khamis nä Hillary wao walikua live wanagonga bila kuchungulia
 
Nakumbuka tumekula kitimoto sana na hawa jamaa, khamis,mody,Aziz,, Habib,hillary yaani ni ile hata hujapanga hao washakuja mkale mdudu.
Khamis nä Hillary wao walikua live wanagonga bila kuchungulia
kwenye jamii linaweza kuonekana ni jambo baya zaidi lisilopaswa kufanywa na waislam,,,lakini uislam wenyewe unaona dhambi mbaya zaidi ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu,,kama kuabudu mizimu, kupiga ramli, kuacha kusali, kuzini....lakini kwenye jamii yanaonekana ni ya kawaida kufanywa na waislam wengi.
 
Mimi sishabikii maandamano wala mauaji ila kumsingizia mtu uongo ni vibaya ndugu
Usipende kufurahisha jamii kwa uongo kwa makosa ya wengine

Mbele ya Mungu siku ya kiama utatakikana ushahidi je utaweza kuutoa?
Yaani hizi mbuzi Huwa haziwazi hayo..zenyewe zikishiba na kutandika miti zimeshamaliza
 
sasa wewe inakuhusu nini hapo.Mbona ma padre hawaoi na kuna askofu mmoja mkubwa sana anaitwa nonilino amezaa na mwanamke flani na kamjengea na nyumba.
Ya kaizari mpe kaizari ya mungu mpe mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom