Kifupi tundu lisu angekuwa anybody hata president Lakini yeye na zito kabwe,halima mdee,mbowe ,Seif sharriff ,Lowasa,Hamad nk waliingia vyama vya watu ambao hawakupigania Uhuru wa Tanganyika au Zanzibar.Mangi mumiliki wa chadema alipinga Tanganyika isipate uhuru umoja wa mataifa kumpinga Nyerere asipewe Uhuru .Makabila baki ndio yaliipambana chini ya nyerere ndio tulipambana kufa na kupona tanganyika iwe huru.Wasukuma chini ya familia ya Rupia ndio waligharamia safari za Nyerere umoja wa mataifa na CUF ile iliyokuwavchini ya maalimu Seif ambayo Sasa wamekimbilia ACT wazalendo hawakushiriki kumtoa sultan zanzibar wakati karume na waswahili Zanzibar wakibeba mashoka na marungu kumtwanga sultani wapemba walikuwa wanatafuna tambuu na kunywa kahawa na Watoto wa sultani .Lisu kajiunga na watu ambao walipinga nchi isipate uhuru tutapambana naye Hadi atukome.Uhuru tumeupata nchi iko vizuri wapemba na wachaga ndio wanataka nchi wakati hawakushiriki kutafuta Uhuru .Walie Tu na supporters wao.Kama hukushiriki kutafuta Uhuru au ukajiunga na ambao hawakushiriki kutafuta Uhuru to hell with you and tundu lissu.Tutatumia nguvu zote kuhakikisha you are out uwe ubegiji or whatever