Supermind
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 259
- 243
Itategemea, hapo uwanjani amekwenda kwa mwaliko kama speaker.!? Au kaenda kawaida kama mashabiki wengine.Unataka kutuambia kwamba Speaker anapokwenda kuangalia mpira uwanjani anakuwa sio speaker sababu pale uwanjani sio bungeni?
Tatizo la watanzania wengi hawafahamu kutenganisha kati ya dhamana aliyonayo mtu serikalini na yeye mwenyewe kama yeye.
Watu ingalau ktk utawala huu ndo wameanza kufuata sheria, taratibu na kanuni. Huko nyuma tulikuwa tunajiendea tu na tukaona ni haki yetu.
Hivyo ukivunja sheria eti kwa kuwa mhusika anafaham shida yako bila kuomba ridhaa rasmi toka kwake hilo ni kosa.