Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,835
Ndugu wana jamvi kuna sababu ya kujua mpenzi wako unayetaka kumuandaa kuwa my wife au my husband alikuwa anaishije kwenye maisha yake ya kimapenzi hapo nyuma. Tusaidiane maana nataka kuingia katika maisha ya ndoa lakini bado sijampata wa kumoyo.
NB: Wana JF inawezekana hii thread ilishajadiliwa hapo nyuma lakini TAFADHALINI tusaidiane tena kimawazo wanajamii wenzangu!!
...kuna msemo unasema "...wengi wape", wengi wamekushauri usifanye hivyo...sawa! lakini kwa ushauri wangu ningekushauri madhali unataka kumuoa/kuolewa naye, mchunguze!