PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Huyu Rafiki kila kitu anataka kuchakachua! Mkiwa kwenye kikao anachakachua main point, kwenye mazungumzo anachakachua hadi unapoteza uelekeo wa mazungumzo...Kwenye Siredi sasa! yani thread ina mandhari ya siasa anipeleka kwenye business then anapeleka kwenye mahusiano mpaka inapoteza quality ya awali!