Kweli nisinge jua sababu mke wake asinge niambia mimi angeambia marafiki zake :A S shade:Hili tatizo usiombe likukute.... Ni lakusikia hapa hapa na kuliacha... Ingekua mwanaume ndio mwenye tatizo kwanza hata hapa isingeletwa maana Fazaa usingejua.
Hao wanandoa wana mtihani wa hali ya juu sana. Mikojo ya mtu mzima inavonuka? Tell him waanza utaratibu mpya else hawatafika popote maana hio ni Karaha! Waanze kwanza kwa kuweka alarm time ya kuwashtua atleast mara 3 kwa usiku mmoja... Inatakiwa tu huyo mwanamke asiwe mvivu or itakua disaster...
Dogo huyo ni rafiki yangu anatafuta ushauri, afu hayo sio ya ndani kwako ni ndani kwa rafiki yangu.Sio fistula mkuu angalia bana.Halafu mambo ya ndani ya mtu yanakuhusu nini mkuu?Kweli watu hawana kazi
Kweli nisinge jua sababu mke wake asinge niambia mimi angeambia marafiki zake :A S shade:
@Thread, ushauri mzuri tamfikishia jamaa.
Yeap, hamna alie mueleza lakini alipo muliza wife wake mbona hujaniambia kama una matatizo haya, yule mke wake kasema alikuwa anamuonea haya.Ina maana wameoana bila kujua kuwa mdada ni kikojozi?
Mwambie aende kumuona mtaalamu
OTIS
Si unasema tu hapa, wanawake ndo wenyewe kutoa siri za ndani.
Naona unaongela kwa wanawake wote utadhani wewe ndo unajua usiri wao.Nakubaliana na wewe... ila ya kukojoa believe me you hatoi... Sijui awe na akili matope kiasi gani. Otherwise anaemwmabia ana dawa ya kutibu.
ni mke wake anadanganya ni mke wa rafiki yake, hujashtuka tu!? Rafiki kaoa alhamisi kalala na mke siku 2 tayari kashamfikishia fazaa habari! Lol uongo bana ni mke wa fazaaNakubaliana na wewe... ila ya kukojoa believe me you hatoi... Sijui awe na akili matope kiasi gani. Otherwise anaemwmabia ana dawa ya kutibu.