jaridotcom2
Member
- Jul 26, 2012
- 62
- 11
Co lazima uwe umechaguliwa ud au udom,mayb unaweza ukawa umechaguliwa eckenford au muccobs.
Soma swali ulielewe..nimesema hawajaweka majina ya watu walioomba kwa equivalent (hata kama sikuchaguliwa hao wengine mbona hawajawekwa sasa?) na kwa taarifa yako mhusika aliomba vyuo hivyo viwili tu
Usirukie kujibu kitu kama hukuelewa swali
Soma swali ulielewe..nimesema hawajaweka majina ya watu walioomba kwa equivalent (hata kama sikuchaguliwa hao wengine mbona hawajawekwa sasa?) na kwa taarifa yako mhusika aliomba vyuo hivyo viwili tu
Usirukie kujibu kitu kama hukuelewa swali
Tukutane baada ya miaka minne tuendeleze uzihuu kwa vithibitisho
Wana jf hatimae SEKUco watoa majina ya undergraduate 2012/2013 visit website yao nimeshindwa kuattach hilo tokeo
Mkuu unaposema watu wanawaonea gele heba angali ni kwa kiasi gani kozi za hapo ud zimekosa watu.Nimeangalia vizuri sana na nimegundua kuwa hata ud kuna kozi nyingi sana zimekosa watu mfano computer scince,IT na nyingine nyingi.Pia kuna watu wengi walikuwa na pasi nzuri lakini hawakuchagua ud kwahiyo hao wachache wanaopigia debe isiwe sababu.Na hizo kozi zilizokosa watu ni kozi zenye soko zuri katika ajira.
Kwa ushauri, kaangalie available slots kwa ajili ya second round kwa kozi za ud ndio utapata jibu.
mzumbe vipi jamani? mimi UD na UDOM hola
kwa hiyo mkuu unamaanisha mzumbe ninaweza misiambulie kitu? nani mwenye list ya mzumbe mkuu?asa kama umekosa hata udom,mzumbe utapata kweli?
kwa hiyo mkuu unamaanisha mzumbe ninaweza misiambulie kitu? nani mwenye list ya mzumbe mkuu?