tell 'em boys!!
mrudie X wako!
Muosha huoshwa, now u can feel the taste of pain.I can't he is married now,,,,,na alisema sana nilipo muacha na kuja kwa huyu mtu hata nahisi ni mkosibsababubalilalamika bsana
Unamaana gani billie mimi sina uwezo wowote ni mwanachuo tu mbaya zaid yeye ndio anaenilipia ada
.mimi roho ikagoma kabsa nikaona nichukue tax niende kwake now niko kwake hayupo nasijamwambia kama niko kwake
I can't he is married now,,,,,na alisema sana nilipo muacha na kuja kwa huyu mtu hata nahisi ni mkosibsababubalilalamika bsana
Vumilia na mpige kibuti unajua unavyomuonyesha kumpenda zaidi ndiyo hivyohivyo anaDekakwani huna jamaa mwingine umringishie ? NiPM tumtikise kwaha kwa sms za mapenzi au nunu aline ya pili ijaze smg za mapenzi halafu akiwepo zitume zije kwako makusudi atairukia simu na kuPanic siku ya pili muonyeshe hiyo Line ya pili atajirekebisha
Nilitaka nikwambie ufanye maamuzi magumu, ila hilo la kuwa anakulipia ada limanifanya nigairi.
Lakini huoni kuwa unatakiwa kuwa na strategies? Unadhani huyo alokuchoka hivyo ataendelea kukulipia ada mpaka lini. Nahisi ataacha soon and very soon.
Was it real love au alikuwa ananunua service ambayo kwa sasa hana shida nayo tena? Kama kuna love ataendelea kukulipia...inawezekana hiyo mimba imemchanganya mpaka ameishiwa nguvu za kiume ndo maana hana hamu ya ku do tena.
Jamani hao wanaume mabingwa wa kuongwa ni maplayer wanawake wenzangu...kuweni makini sana na uchaguzi mnao fanya. Nadhani ulomuacha alikuwa hana pesa kama huyu...lakini utashangaa baada ya miaka anakuwa young milionea. Bora za kutafuta wote mume atakuheshimu kuliko akuone umeolewa au umempenda sababu ya dhiki zako.
Hakuna ndoa ya aina yoyote katyetu ni boyfriend toKwanza naomba unifafanulie" Unasema ulienda kwake, ina maana you two don't live together? Ni mume wako au Boyfriend, mchumba? rafiki?
I realy luv him huwez amin my ex alikua na uwezo zaid..hataivo anaponitaka hakunambia atanisomesha haya yalikuja badae
Manyoya yalivyo mengi, inaonekana keshachinjwa.
Pole binti!
Sio kuwa mimi napenda najitahidi nashindwa
Hapo Chadema watakuwa wanahusika moja kwa moja!Salam kwenu nduguzangu, naombeni kufunguliwa macho maana nahisi mapenzi yamenifumba macho,mimi ninampenZi wangu tuko na miaka miwili sasa lakini kama miezi miwili ilopita mwenzangu kabadilika sana na sikuzinavo enda nazidi kupokea vituko, mwez flan alikua hataki kufanya mapenz akisema mazoez yanamchosha sana,lakn badae akabadlika zaid akawa anarudi sa8,9,hadi sa 10 usiku/alfajiri na hanigusi akidai anamawazo sana yanamuondolea uwezo wa kumudu tendo..majuz nimdeshika simu yake nikakuta msg za mwanamke akisema baby najihisi nina mimba,na msg za ex wake wakionekana walikuwa wanaunganishiana mana ex anadai ila roho inaniuma bado nakuhitaji,,,last night tukayaongelea lakin tukayamaliza kiolela mana mwenzangu hakutaka kuongea na anakua mkali,leo kani drop home akanambia leo sitokuja kukufata uwahi kuja mwenyewe nikakubari lakin sa 11 jion kanipgia kanambia nijenikuchukue saangap nikamjibu ata saiz nikotayari akasema kunakazi anaenda kufanya nimsubir atanifata sa2 usiku.mimi roho ikagoma kabsa nikaona nichukue tax niende kwake now niko kwake hayupo nasijamwambia kama niko kwake nimempigia kanambia kama unaweza nenda home mimi ninaratba ndefu,,saiv nampgia hapokei nimejaribu kumpgia ule mwanamke aliesema anamimba hapokei,,jaman naombeni kuambiwa ninalangu hapa??na nifanye vip kama sina langu najaribu kumuacha bnashindwa najikuta najileta mwenyewe
Nambe, I love your advice, great piece of advice...hope she takes it!Great Message written
at the reception of a corporate company..
We don't pay you for having "brains"
We only reward "you"
for using them "intelligently"
nadhan hali halisi iko waz kuwa wenzio ni mwanaume wa wengi.....
sasa tumia huo ubongo wako kujipanga......