Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,870
Unamaana gani billie mimi sina uwezo wowote ni mwanachuo tu mbaya zaid yeye ndio anaenilipia ada
Namanisha kuwa ungekuwa na ka mwanachuo kenzio uketeseka kiasi hicho na je ungesuasua kufanya maamuzi magumu ila kama anakulipia ada endelea KUTUMIKIA ADA HADI UTAPOMALIZA chuo chako.