PreGE2025 Kuna nyufa zinazoipasua na kuigawanya CHADEMA iliyopoteza uelekeo, nini kifanyike kuziba mwanya na pengo la uongozi unaosababisha nyufa hizo?

PreGE2025 Kuna nyufa zinazoipasua na kuigawanya CHADEMA iliyopoteza uelekeo, nini kifanyike kuziba mwanya na pengo la uongozi unaosababisha nyufa hizo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,834
Maana kumepwaya kila idara ya chama. Ni kama vile kunakupoteana vile.

Hakuna anaeaminika na wa kutoa uelekeo thabiti wa chama, kwasababu ya njaa kali, unyonge wa kipato na woga. Hakuna matumani kwa wanachadema kabisa.

Kitu kizuri ni kwamba kila mwanachadema anaendelea kujishughulisha na majukumu yake ya kila siku. Hayupo anaebabaika na ya mwingine.

Viongozi wa Chadema wasio na ajira, wenye njaa kali waliokua wanategemea pesa za posho na matumizi yao baada ya michango ya wananchi kwenye mikutano ya hadhara, sasa wanajificha kwasababu ya madeni binafsi wanayodaiwa huko mitaani kwao.

Kutoka kwenye mkwamo waliomo sasa, unashauri nini kifanyike Chadema kuziba nyufa za uongozi ndani ya Chadema iliyopoteza uelekeo, kipindi hiki tunapokaribia uchaguz mkuu?

Kwasababu kisiasa,
sio jambo la kawaida kwa chama cha siasa kuelekea uchaguzi, badala ya kuungana na kua imara zaidi, lakini Chadema kinagawanyika na kupasuka na hatimae kua dhaifu zaidi.

Nani tatizo Chadema my friends, ladies and gentlemen?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Maana kumepwaya kila idara ya chama. Ni kama vile kunakupoteana vile.
Hakuna anaeaminika na wa kutoa uelekeo thabiti wa chama, kwasababu ya njaa kali, unyonge wa kipato na woga. Hakuna matumani kwa wanachadema kabisa.
Kitu kizuri ni kwamba kila mwanachadema anaendelea kujishughulisha na majukumu yake ya kila siku. Hayupo anaebabaika na ya mwingine.

Viongozi wa Chadema wasio na ajira, wenye njaa kali waliokua wanategemea pesa za posho na matumizi yao baada ya michango ya wananchi kwenye mikutano ya hadhara, sasa wanajificha kwasababu ya madeni binafsi wanayodaiwa huko mitaani kwao.

Kutoka kwenye mkwamo waliomo sasa, unashauri nini kifanyike Chadema kuziba nyufa za uongozi ndani ya Chadema iliyopoteza uelekeo, kipindi hiki tunapokaribia uchaguz mkuu?

Kwasababu kisiasa,
sio jambo la kawaida kwa chama cha siasa kuelekea uchaguzi, badala ya kuungana na kua imara zaidi, lakini Chadema kinagawanyika na kupasuka na hatimae kua dhaifu zaidi.

Nani tatizo Chadema my friends, ladies and gentlemen?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
hata humu JF mada znazoletwa na wana ccm au khs ccm zmepoteza mvuto, hamasa na wachangiaji ni wachache
 
CHADEMA si imeshajifia sasa nyufa zinatokea wapi gentleman?
kitaalamu ni Lazima kuweka record vizuri for reference,
si unaona wafiwa wa chama kama joni heche wanavyobweka bweka kama vile Chadema iko hai?

huenda lema katikomea na mkwanja,
halafu leo kuna water melon anataka kuongea na wanahabari ni vizuri kuweka kumbukumbu vizuri gentleman 🐒
 
Wasira akiwa Waziri Alisema Chadema inakufa 2014.
Ila hadi leo hatusikii mazishi.
 
Unatuchosha na nyuzi zako za kipumbavu. Wala sijasoma.
wewe ni mvivu tangu chekechea gentleman inafahamika vizuri sana,,

halafu nani kakushikia bunduki ili usome nyuzi zangu kama sio kiherehere chako tu gentleman?🐒
 
Chadema ipi unayoizungumzia we baba? Umeshaambiwa chadema haitashiriki uchaguzi. Halafu siunajua chadema ni chama cha kidemokrasia, sasa unashangaa nini chadema kuwa na nyufa wakati wanachama wake wako huru kutoa maoni yao?
 
Wasira akiwa Waziri Alisema Chadema inakufa 2014.
Ila hadi leo hatusikii mazishi.
ni muhimu sana na ni jambo la maana sana ukamuulize yeye mwenyewe binafsi na itapendeza zaid gentleman 🐒
 
hata humu JF mada znazoletwa na wana ccm au khs ccm zmepoteza mvuto, hamasa na wachangiaji ni wachache
dume lenye uhakika halimchungulii mkewe gentleman 🐒
 
Maana kumepwaya kila idara ya chama. Ni kama vile kunakupoteana vile.
Hakuna anaeaminika na wa kutoa uelekeo thabiti wa chama, kwasababu ya njaa kali, unyonge wa kipato na woga. Hakuna matumani kwa wanachadema kabisa.
Kitu kizuri ni kwamba kila mwanachadema anaendelea kujishughulisha na majukumu yake ya kila siku. Hayupo anaebabaika na ya mwingine.

Viongozi wa Chadema wasio na ajira, wenye njaa kali waliokua wanategemea pesa za posho na matumizi yao baada ya michango ya wananchi kwenye mikutano ya hadhara, sasa wanajificha kwasababu ya madeni binafsi wanayodaiwa huko mitaani kwao.

Kutoka kwenye mkwamo waliomo sasa, unashauri nini kifanyike Chadema kuziba nyufa za uongozi ndani ya Chadema iliyopoteza uelekeo, kipindi hiki tunapokaribia uchaguz mkuu?

Kwasababu kisiasa,
sio jambo la kawaida kwa chama cha siasa kuelekea uchaguzi, badala ya kuungana na kua imara zaidi, lakini Chadema kinagawanyika na kupasuka na hatimae kua dhaifu zaidi.

Nani tatizo Chadema my friends, ladies and gentlemen?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Dawa ni Moja tu, wanachama wote na viongozi wamkri Lissu kuwa Bwana na Mwokozi wao na wamsikilize yeye na kumfuata without reservation
 
Ccm kunanin mbona kuhangaika na chadema?
ni muhimu zaidi ukawaulize,

halafu ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani bila mihemko na itapendeza zaidi 🐒
 
Chadema ipi unayoizungumzia we baba? Umeshaambiwa chadema haitashiriki uchaguzi. Halafu siunajua chadema ni chama cha kidemokrasia, sasa unashangaa nini chadema kuwa na nyufa wakati wanachama wake wako huru kutoa maoni yao?
Relax bas gentleman,
So,
kama wataalamu wa siasa tukae kimya tu bila kuibua mawazo mapya na fikra mbadala za kuwazindua wanachadema waliolala namna ya kujikwamua walipokwama kisiasa?🐒
 
Ila ndugu zetu wabishi sana kukosolewa ila wepesi sana kukosoa.
Sijui wanafikiri wanachama wote wapo mitandaoni na wanafikiri pia malalamiko pekee ndio ajenda ya msingi.
 
Back
Top Bottom