Kuna njia ya kuboost photo facebook page bure?

Kuna njia ya kuboost photo facebook page bure?

Gulio Blog

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,056
Reaction score
4,124
naomba msaada kama kuna njia ya kuboost post bureau fb page nimejaribu kulipia lakini nimeona napata hasara nimejaribu Mara mbili wanakwambia post itawafikia watu16000 lakini inafikia watu 3000
lengo langu kufanya biashara mtandaoni yani kuwatangazia watu matangazo kwa maana hiyo najitahidi kuhakikisha nayemtangazia biashara yake apate mteja
nimefanikiwa kuwa na group 200 za biashara na kuchati
na instagram account Bei maelewano
Facebook bei maelewano
pia na website hii
Bei Maelewano
nipo katika hatua za kujipromote zaidi
mwenye ushauri pia nahitaji njia zipi naweza nikapitia ili nipate pesa
 
Kuboost kivipi mkuu?Yan kupata likes nyingi au?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuboost kivipi mkuu?Yan kupata likes nyingi au?

Post sent using JamiiForums mobile app
nipate like nyingi au koment
lakini kingine navyosema post aifiki kwa watu wengi kama wanavyosema maana si naona waliotembelea
 
nipate like nyingi au koment
lakini kingine navyosema post aifiki kwa watu wengi kama wanavyosema maana si naona waliotembelea
kwa njia ya bure sahau kama unahitaji watu wengi waitazame jitahidi kushare ktk magroup
 
naomba msaada kama kuna njia ya kuboost post bureau fb page nimejaribu kulipia lakini nimeona napata hasara nimejaribu Mara mbili wanakwambia post itawafikia watu16000 lakini inafikia watu 3000
lengo langu kufanya biashara mtandaoni yani kuwatangazia watu matangazo kwa maana hiyo najitahidi kuhakikisha nayemtangazia biashara yake apate mteja
nimefanikiwa kuwa na group 200 za biashara na kuchati
na instagram account Bei maelewano
Facebook bei maelewano
pia na website hii
Bei Maelewano
nipo katika hatua za kujipromote zaidi
mwenye ushauri pia nahitaji njia zipi naweza nikapitia ili nipate pesa
naombeni mods hii thread irudishe kule nilikopost habari mchanganyiko
 
Hiyo haipo, mimwenyewe nalipia huwez ukaboost bure

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
join fb groups za kutosha kisha share post zako au tengeneza ads ambayo lazima ulipie
 
Back
Top Bottom