assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
MH SHIBUDA akihojiwa hot mix alisema wazi kwamba chadema sasa haina tofauti na ccm katika utoaji wa maoni je huo sindio usaliti je kamati kuu hamkuangalia kipindi cha EATV au umekaushia kwa kua is not man u r interested with hii ni doublestandardPeleka upuuzi wako Lumumba.
hakika zito anatolewa kafara kwa sababu ya posho, uenyekiti, matumizi mabya ya rasilimali za chama alizokua akihoji suala la usaliti ni kama waingereza wanavyosema give a dog a bad name in order to kill it, kwa wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazima useme anakula vifaranga nk je kamati kuu mbona shibuda muda wote mmemuacha ni kwa kuwa hazuii mirija yenu, vilevile mnamuona sio threat, waraka wamabadiliko walioandaa wamekiri wazi zito hahusiki mnakazania tu je kwann tusiamini kwamba kuna hidden agenda na si usaliti
hakuna ni kwamba walikua waamtafuta zito mda mrefu sasa hapo ikawa kisingizio tu ili wamfukuze fatitilia kisa cha saliva kiir kule sudan utaelewa na rik macharWanamuogopa
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.
Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.
My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
View attachment 130287Hivi Mzzee wa makomandoo wa Afganstan, Libya ,Irak yuko wapi siku hizi?
jibu hoja kama ni usaliti angekuwa shibuda alikataa kutoka katika kumsikiliza rais bungeni, alienda kwenye sherehe ya kumpongeza raisi kushinda, amewakosoa viongzoi wa juu tena hadharani nje a vikao je kamati kuu mbona hamkuchukua uamuzi wowote hata karipio tu?? je usaliti wa zito ndio umezidi kuna agenda y siri kwamba viongozi wa juu walikua wanamtaget zito ili wamfukuze hoja ya usaliti ni kini macho kama mwerevu ataelewa ila kwa mburula atabalki kuleta matusiAndrea Codes Ujerumani zile $ za nani?
Ndio huyo haswa?Hivi huyo hapo kati ni nani maana sura yake kama vile ilipata umaarufu siku za karibuni ila nashindwa kukumbuka.
suburi kesho jaji utamwa akimaliza kusoma hukumu baada ya hapo utaona what will happen umeeeewa? ila kama uekunywa gongo itakua ngumu kuelewaHivi nyie watu mnaposema "muda si mrefu" huwa mnamaanisha nn? Hata masiha anasubiriwa na wale wanaoamini wanasema atarudi muda si mrefu. Kwa nini usiweke huo muda katika vipimo vya muda vinavyoeleweka.
Au ndio muendelezo wa majungu ya hapo lumumba?
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.
Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.
My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
aliyekwambia Shibuda hatakuja kujadiliwa usaliti wake ni nani lakini waliogundulika waziwazi tena wenye madhara makubwa ndani ya chama wakiachwa ni Zittotena mbaya zaidi yeye katengeneza mkakati wa kukihujumu chama sasa kwahili wa kushugulikia kwanza ni Zitto ndie mwenye damage kubwa kwa chama sasahayo mengine wewe endelea kuishi kwa kuzania tu.MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.
Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.
My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi