Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Kwa siku kadhaa jiji la Mwanza limekumbwa na zoezi linaloendeshwa na TRA kwa kushirikiana na Madalali.
Jambo la ajabu magari yanayodaiwa hayajalipia motor vehicle licence wengi wanazo nyaraka zinazoonyesha wamelipia NMB au CRDB lakini katika system ya TRA hazionekani. La ajabu wao hawataki kuchunguza ni kwanini hali hiyo inajitokeza wao wanataka ulipe tuu. Hizo pesa zinaingia wapi kama system yao haionyeshi?na mbona hawana mpango hata wa kuchunguza hilo? Huku kulipishana mara mbili ni kuwaibia wananchi. Watoe ufafanuzi.
Jambo la ajabu magari yanayodaiwa hayajalipia motor vehicle licence wengi wanazo nyaraka zinazoonyesha wamelipia NMB au CRDB lakini katika system ya TRA hazionekani. La ajabu wao hawataki kuchunguza ni kwanini hali hiyo inajitokeza wao wanataka ulipe tuu. Hizo pesa zinaingia wapi kama system yao haionyeshi?na mbona hawana mpango hata wa kuchunguza hilo? Huku kulipishana mara mbili ni kuwaibia wananchi. Watoe ufafanuzi.