General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Blasio Kachuchu, Ownership ya TBL ikoje?
Hao wageni wanapataje vibali vya kazi kama Watanzania wanaoweza kufanya hizo kazi wapo?
Tz imekosa vijana wenye ubunifu na hapohapo ana nidhamu ya kazi. Vijana wamejaa tamaa, wizi na uvivu......
Mtu akipata madaraka rushwa za ngono kwa dada zetu kupata ajira zinatamalaki.....
Hatuna spirit ya kazi kama wa kenya