ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,119
- 49,843
Vodacom iliwahi mteua MD kutoka nje (Kenya) ila Serikali ya Magu ikamtimua na kumnyima visa na working permit kwa maelezo kwamba wapo Watanzania wanauweza hiyo kazi.
Swali: Je, Tanzania hatuna watu wenye uwezo wa kuwa ma MD wa TBL?
===
TBL APPOINTS FIRST FEMALE MDTanzania Breweries Limited has appointed its first female managing director in its 90-year company history.Ms. Kilpin takes over at TBL after two years under Jose Moran's leadership, who is now progressing to a regional portfolio on the continent.
TBL igeni wenzenu wa BoT,hawacheki na Kima👇👇
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1753748154082644053?t=X2DzV0oGptsiACRG3c2pFg&s=19
Swali: Je, Tanzania hatuna watu wenye uwezo wa kuwa ma MD wa TBL?
===
TBL APPOINTS FIRST FEMALE MDTanzania Breweries Limited has appointed its first female managing director in its 90-year company history.Ms. Kilpin takes over at TBL after two years under Jose Moran's leadership, who is now progressing to a regional portfolio on the continent.
TBL igeni wenzenu wa BoT,hawacheki na Kima👇👇
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1753748154082644053?t=X2DzV0oGptsiACRG3c2pFg&s=19