Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Anza kuweka asali kama mbadala kwenye chai na juice unywe fresh tu
Njoo tutumie asali
Asali lita 1 ni Tsh. 8000+,je inaweza kuwa mbadala wa sukari?Anza kuweka asali kama mbadala kwenye chai na juice unywe fresh tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua ana mgahawa au ananunua kwa jumla kilo kadhaa anaenda kuuza rejareja mtaani,,Unanunua kila siku kwa nini
Mbona bei hajapanda au wamekuona wakuja!!
Kwan sukar anatumia vijiko vingap kwa siku kama sio 2-3 same applys to asaliAsali lita 1 ni Tsh. 8000+,je inaweza kuwa mbadala wa sukari?