Nitajitahidi mkuuMkuu jifunze ujue ili mradi uwe na nia
Simaanishi ulicho andika hapo hakina maana Bali vinapishana kidogo siyo vyote!! Angani daaaNyie mlikuwa mnasomea wapi angani?
Ki vipi mkuuInaelekea geography mlio soma nyinyi na tulio soma sisi zinatofautiana
Kutumia evidence za youtube kucritisize huu uzi ni ajabu kidogo aisee...there is nothing like mars.nasa wanasaka attention tuu...apo kwenye mwezi tuu hawakufika walitudanganya.story za mars watazipata wapi ...dunia ni tambarare.for more info enter you tube search moon landing hoax.au flat earth proofs
Kweli mkuu watenda dhambi wote watapelekwa kwenye sayari hii siku ya mwishoinawezekana hio ndio jehanamu ya sie watenda dhambi
Ukifikiria hayo yote najua mwisho utamaliza na Mungu ni mkubwa.hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
Muda wakujifunza ndo huu mkuuHivi vitu huwa natamani nivijue
Hahaha mmmh isije ikawa kweli mkuu joto la 400c+ ni joto kali sana hapa dar joto ikifika 32c watu tunatafutana.... sasa huko venus kuwe ndo jehanaminawezekana hio ndio jehanamu ya sie watenda dhambi
tunafanya masikhara kumbe jehanamu inaelea huko angani ngoja niache dhambiKweli mkuu watenda dhambi wote watapelekwa kwenye sayari hii siku ya mwisho
hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
Ni simple sana ni kuwa kwenye core ya jua (sehemu ya ndani kabisa) kunakuwa kuna aina mbili za elements ambazo zipo kwenye mfumo gesi nazo ni helium na hydrogen sasa kinachotokea hapa ni zinaungana (nuclear fussion) kisha baada ya muunganiko huo huwa zinatoa nguvu joto kubwa mno na hii ndio huitwa plasma na huwa zinazungukana kwa spidi kubwa mno hivyo kusababisha umbo duara na hii ndiyo maana jua huonekana kama duara linalotoa mwanga mwanga huo hutokana na reaction nilizotaja hapo juuhv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie