satininus
Senior Member
- Feb 11, 2021
- 134
- 172
Kufuatia mkeka wa ma DC kutoka, imeonekana kuna jambo fulani linaepushwa ili kulinda ubadhilifu mkubwa uliofanywa kwenye chama wakati wa Katibu Mkuu Deus na genge lake.
Juzi tu mkutano mkuu wa CWT taifa ulimtimua Kaimu Rais na kumrudisha Rais aliyefurushwa kwa hila Mwl Leah Ulaya lakini kwenye mkeka wa jana viongozi wote wakuu wa chama wamepata uteuzi yaani; Leah, Mathamani na Maganga.
Kwa hiyo CWT haina uongozi wa juu. Naomba wafuatiliaji wa sakata la Uongozi wa CWT watupe ufafanuzi katika hili.
Juzi tu mkutano mkuu wa CWT taifa ulimtimua Kaimu Rais na kumrudisha Rais aliyefurushwa kwa hila Mwl Leah Ulaya lakini kwenye mkeka wa jana viongozi wote wakuu wa chama wamepata uteuzi yaani; Leah, Mathamani na Maganga.
Kwa hiyo CWT haina uongozi wa juu. Naomba wafuatiliaji wa sakata la Uongozi wa CWT watupe ufafanuzi katika hili.