Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, sijawahi kusikia makamu mwenyekiti ccm mwanamke, pia Katibu mkuu ccm mwananmke.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.
Tumeona makamu wa rais mwanamke na akawa rais ki bahati bahati tu. Hizo nafasi haziwezi kutwaliwa na mwanamke huko ccm? vipi katibu mkuu ccm haiwezekani akapewa mwanamke pia?
Haya sasa Chongolo alijiuzulu mwenyewe, kwanini wanaosemwa kuirithi nafasi yake ni wanaume watupu?
CCM waachieni mama zetu labda tutabahatisha anayeweza.