Kuna mzimu gani CCM?

CCM haiondoki mkuu ....

CCM ni Tanzania na Tanzania ni CCM.....

Hebu nielewe hivi......

Umepata kufahamu kuwa Tanzania ni "shock absorber" ya matatizo ya nchi zote zinazoizunguka?

#JMTMilele
#SiempreCCM
#VivaCCM
 
Bila shaka Profesa MajiMarefu na Kingunge Ngombale Mwiru wamekufa na siri nzito sana, pasina shaka Edward Lowassa anafahamu sirikali za hii DEEP STATE. Baada ya Uhuru, ChamaChaWalozi(CCW) kilimruhusu Nyerere pekee kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika na baadae kuwa Raisi, na kikaweka MWIKO kwa Waziri Mkuu yeyote kuwa Raisi baadae.
Lowassa pamoja na kuutambua huu Mwiko, aliamua kupimana ubavu na Walozi; na hata alipoukosa Uraisi na kurudi chamani, hawakuwa na ubavu wa kumuadhibu kwa kuvunja miiko ya chama kwa kuwa ameshikiria nguvu za Makafara ya upande wa Kaskazini. Ukiachana na Makafara ya Bagamoyo na Lindi(Kingunge pia amezaliwa Kilwa), Nchi yetu pendwa imefanyiwa Makafara pande zote nne, kuna Makafara ya Handeni Tanga, Ziwa Tanganyika (Kigoma Vijijini na Sumbawanga,Nkasi-Namanyere), Ziwa Nyasa-Mbinga, Ziwa Nyanza na Zanzibar.
Hii ni vita ya KIROHO, ni lazima tuchunguze na kuvunja MAAGANO yote ndio tutaikomboa Nchi, IMANI bila MATENDO imekufa. Mambo ya Kisayansi hutatuliwa kisayansi, Maombi matupu bila kujua mbinu za adui yako ni sawa na kujirisha upepo, ni lazima tujue maeneo yote ya Makafara, ni kupiga kambi, kuomba na kuteketeza kwa MOTO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…