Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Ni zaidi ya miezi sita sasa DSM ina kaimu mkuu wa mkoa ambaye naye ni mkuu wa mkoa wa Lindi kama sijakosea. I guess naye atakuwa na kaimu kutoka mkoa mwingine (may be RAS).
Walau kwa wale mnaofanyakazi mashirika ya kibinafsi hata serikalini inawezekanaje nafasi kubwa (position) kuwa bila mtu kwa kipindi chote hicho?
Hapa kuna mambo mawili tu kwanza kama kwa muda wote huo hakuna replacement na shughuli zinaendelea kama kawaida basi hiyo position si muhimu interms of value for money kwa general public (kwa individual its well and good salary gari V8 etc)
Pili ni ili swala la mkuu wa mkoa mwingine kukaimu mkoa mwingine. Mimi nafikiri kiutendaji lina ripple effect ambayo si nzuri hata kidogo. So we have something like this mkuu wa mkoa Lindi anakwenda kukaimu DAR Lindi say RAS anakaimu haya kazi za RAS nazo zinakaimiwa etc etc. Ninachofahamu mimi ni kwamba swala la kukaimu lina limitations, kwa kwa hiyo ktk hiyo chain nzima u can imagine aina ya decisions zitazokuwa zinatolewa na maelezo kwa wanaotaka huduma.
Like I said hebu tuangalie hili swala imekaaje.
Walau kwa wale mnaofanyakazi mashirika ya kibinafsi hata serikalini inawezekanaje nafasi kubwa (position) kuwa bila mtu kwa kipindi chote hicho?
Hapa kuna mambo mawili tu kwanza kama kwa muda wote huo hakuna replacement na shughuli zinaendelea kama kawaida basi hiyo position si muhimu interms of value for money kwa general public (kwa individual its well and good salary gari V8 etc)
Pili ni ili swala la mkuu wa mkoa mwingine kukaimu mkoa mwingine. Mimi nafikiri kiutendaji lina ripple effect ambayo si nzuri hata kidogo. So we have something like this mkuu wa mkoa Lindi anakwenda kukaimu DAR Lindi say RAS anakaimu haya kazi za RAS nazo zinakaimiwa etc etc. Ninachofahamu mimi ni kwamba swala la kukaimu lina limitations, kwa kwa hiyo ktk hiyo chain nzima u can imagine aina ya decisions zitazokuwa zinatolewa na maelezo kwa wanaotaka huduma.
Like I said hebu tuangalie hili swala imekaaje.