Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,910
Wakuu habari zenu.
Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E
Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?
Majibu tafadhali!
Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E
Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?
Majibu tafadhali!