Kuna mwenye alama hizi amechaguliwa?

Kuna mwenye alama hizi amechaguliwa?

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,336
Reaction score
10,910
Wakuu habari zenu.

Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E

Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?

Majibu tafadhali!
 
Mkuu, samahani naomba unijuze siku hizi basic applied math sio somo linalokuwa la subsidiary tena kama zamani ? Nimeona umeweka BAM -E
 
Hawezi mkuu Wala hakupaswa hata kujaribu ku apply kama alifanya hivo,kigezo cha chini kabisa ni D mbili kwa mujibu wa muongozo wa Serikali (TCU)


Nasikia kuna waliojaribu ngekewa, wamepata. (Sina uhakika)
 
Mkuu, ataweza kuchaguliwa kutegemea na kozi alizoziomba pia na ushindani katika alama.
Wengi wanaosoma PCB wanapenda sana kozi za medical, kama udaktari, famasi n.k. ( kwa hizi hatapata kutokana ufaulu wa chini na ushindani)

Kuna second selection itatoa fursa ya kuomba tena na itaonyesha kozi zilizopo na itakupa nafasi ya kuchagua katika hizo kozi Zitakazo ainishwa, hapa muombaji lazima awe flexible aisee na ikishindikana kabisa basi aombe pia kozi za diploma.
 
Mkuu, ataweza kuchaguliwa kutegemea na kozi alizoziomba pia na ushindani katika alama.
Wengi wanaosoma PCB wanapenda sana kozi za medical, kama udaktari, famasi n.k. ( kwa hizi hatapata kutokana ufaulu wa chini na ushindani)

Kuna second selection itatoa fursa ya kuomba tena na itaonyesha kozi zilizopo na itakupa nafasi ya kuchagua katika hizo kozi Zitakazo ainishwa, hapa muombaji lazima awe flexible aisee na ikishindikana kabisa basi aombe pia kozi za diploma.


Shukrani Mkuu, ila kwenye second selection hawajashusha cut-point za ufaulu. Bado ni D mbili
 
Mkuu, ataweza kuchaguliwa kutegemea na kozi alizoziomba pia na ushindani katika alama.
Wengi wanaosoma PCB wanapenda sana kozi za medical, kama udaktari, famasi n.k. ( kwa hizi hatapata kutokana ufaulu wa chini na ushindani)

Kuna second selection itatoa fursa ya kuomba tena na itaonyesha kozi zilizopo na itakupa nafasi ya kuchagua katika hizo kozi Zitakazo ainishwa, hapa muombaji lazima awe flexible aisee na ikishindikana kabisa basi aombe pia kozi za diploma.
Hawezi chaguliwa asipoteze muda maana kigezo cha kujoin university ni D mbili, mwambie atafute diploma atapata vizuri tu
 
Naamini tcu hawajafikia hatua hiyo ya kuchukua d moja cha msingi cheki ustaarabu mwingine wa diploma ila kwa university ni kusubiria meli home kwako
 
TAARIFA YA UHAKIKA KABISA NI HII: kama amemaliza six after 2014 E inahesabika kama principal pass kwa hiyo aaply bila wasiwasi..me nnaushahid wa waliopata kwa grade hizo. Ushauri wangu asiombe kozi zenye ushindani au vyuo vyenye ushindani kama UDS, MZUMBE n.k
 
TAARIFA YA UHAKIKA KABISA NI HII: kama amemaliza six after 2014 E inahesabika kama principal pass kwa hiyo aaply bila wasiwasi..me nnaushahid wa waliopata kwa grade hizo. Ushauri wangu asiombe kozi zenye ushindani au vyuo vyenye ushindani kama UDS, MZUMBE n.k


Mkuu, hiyo taarifa umeitolea wapi?
 
Mkuu, hiyo taarifa umeitolea wapi?
Mimi ni mmojawapo wa waliochaguliwa kwa grade hizo
Screenshot_20180904-120725.jpg
 
Back
Top Bottom