Kuna mwenye alama hizi amechaguliwa?

Kuna mwenye alama hizi amechaguliwa?

Wakuu habari zenu.

Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E

Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?

Majibu tafadhali!
N ngumu Sana kiufup Hamna Kwan grade nowadays zimekuwa Za juu hivyo vigezo pia vinabana cha msingi apo dogo atumie cheti cha form 4 kuapply diploma Kam atataka vinginevyo haiwezekan
 
Wakuu habari zenu.

Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E

Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?

Majibu tafadhali!
Huyo dogo awahi NACTE hana vigezo vya kusoma degree
 
Wakuu habari zenu.

Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E

Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je endapo ataomba kwa dirisha la pili lililofunguliwa mnamo wiki hii anaweza kuchaguliwa?

Majibu tafadhali!
Labda aje muhimbili kuona wagonjwa....akuje na matunda plz[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kwa hiyo nimshauri dogo a-apply?
Mshauri ndio...but azingatie hilo...achague institute na siyo university...atapata
Kama mwenye DEE kachaguliwa hayo ni makosa, sote twajua kwa masomo mawili aliyopata ufaulu mkubwa ana point 3 (D=2 na E=1). Hivyo maombi yake yalitakiwa yatupwe nje, na kama amechaguliwa kweli na alama hizo kutakuwa na chujuo la ndani kwa ndani baada ya vyuo kufunguliwa. Sidhani kama atapita hilo. Ukiingia kwa kudanganya (kuomba wakati huna sifa), siku yoyote ukigundulika leo au miaka 10 ijayo) uwe tayari kutoka wakati wowote.
Usalama wake ni NACTE atafute diploma.
 
Back
Top Bottom