Kwani wewe lengo lako lilikua nini wakati tayari umesha sema ni kujitolea mkuu....😎Wakuu, humu kuna mtu amewahi kufanya intership NIDA au kujitolea??
Nimeuliza kujua kuhusu hawa jamaa
Jee mtu anayejitolea au kufanya intership nida analipwa chochote au hata posho???
Subutuuu... Yule hata mtendaji hawezi pewa connectionMcheki Lucas Mwashambwa ,ana connection huko.
😂 mambo yenu ya dharau dharau hayo.Subutuuu... Yule hata mtendaji hawezi pewa connection