Kuna mtu ameleewa alichokiongea DC Msando?

Kuna mtu ameleewa alichokiongea DC Msando?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Salaam!

Ukisikiza kauli za mtu huyu zilizopita ukilinganisha na aliyotoa Jana,

Ni kama anafuta kauli zake zote zilizopita kwamba tubaki na hii ya Jana .

Amesema kwamba, jukumu lake ni kulinda watu wote na dini zote na Imani zote,

Kwamba serikali haina mamlaka kuingilia uhuru wa watu kuabudu kulingana na Imani zao mbalimbali .

Sasa kwa kauli hiyo, Nini dhahiri pia ufungwaji wa kanisa ni kama anakana.

Aliyelelewa atueleweshe.🙏
 
Salaam!

Ukisikiza kauli za mtu huyu zilizopita ukilinganisha na aliyotoa Jana,

Ni kama anafuta kauli zake zote zilizopita kwamba tumaini hii ya Jana .

Amesema kwamba, jukumu lake ni kulinda watu wote na dini zote na Imani zote,

Kwamba serikali haina mamlaka kuingilia uhuru wa watu kuabudu kulingana na Imani zao mbalimbali .

Sasa kwa kauli hiyo, Nini dhahiri pia ufungwaji wa kanisa ni kama anakana.

Aliyelelewa atueleweshe.🙏
Kataa wahhni
 
Eti amewaita maaskofu wa Gwajima kwamba, njooni tuzungumze.

Kuna Nini Cha kazungumza hapo badala ya kuomba Radhi?
 
Eti amewaita maaskofu wa Gwajima kwamba, njooni tuzungumze.

Kuna Nini Cha kazungumza hapo badala ya kuomba Radhi?

Kuomba Radhi kufuatiwe na Kujiudhuru.
Haiwezekani Kanisa lidhalilishwe, Alafu mwenye zamana aishie kuomba radhi tu
 
Back
Top Bottom