hii inaonyesha hata huko chuo haelewi anaenda kufanya nini!!!!kusoma md lazima uwe umefanya pcb, not otherwise. Inamaana hukuwahi kufatilia hvyo vigezo mpaka ukaomba medicine kama chaguo la kwanza?
<br />Kubadil koz pale sahau kabisa,labda uapply tena college zngne.
soma BS nursing ni nzuri.MD MUCHS hawatakukubali kamwe.Ngugu wanajamii forum naomba kuuliza kama kunamtu amechaguliwa muhimbili kusomea doctor of medicine na cbg, nauliza kwasababu niliomba kama first choice hawaja nichagua bali wamenipangia nursing. Nafikiria nikifika niombe kubadilishiwa jee itawezekana?
ndo hivyo mkuu ulichokisema ni cha kweli na ni jambo la msingi ambalo vyuo inabid walifikirie...Coz seriously vyuo vingi sio tu vya bongo hata kenya uganda, south africa na nchi nyingine nyingi watu waliosoma physics wanakipaummbele kwenye MD, mfano mtu kasoma PCM, na mwingine CBG Na wamefaulu almost kwenye the same grade, wa PCM ana chance kubwa ya kuchaguliwaAcheni kumlaumu mshkaji.Hiki kigezo cha muhimbili kwamba MD isomwe na form 6 aliyefaulu(moja kwa moja) masomo ya PCB,hakina maana kabisa.Mtu wa CBG anaweza kabisa kusoma MD kwani Chemistry&Biology ndiyo msingi hasa wa MDna Physics ni nyongeza tu na hata ya form 4 inatosha.Ningeelewa kwa PCM manake huyu hakufanya Biology form 5&6,hivyo hana msingi imara wa kumuwezesha kumudu MD.Dogo usikate tamaa.Jaribu kwenda kuwaomba kubadilisha,kama umefaulu vizuri lakini.Namaanisha kama una div one au 2 ya point 10.Kuna watu kama wewe anaweza kuwa kachaguliwa MD lakini anataka Nursing au Pharmacy,hivyo ikawa nafasi nzuri kwako kum replace.all the best
hata ukichaguliwa pharmacy ni ngumu kuingia MD seuse CBG?is it possible kusoma MD in UK iwapo umesoma CBG,does it mean kila kinachofanywa kenya na Uganda na sisi tuige?mwisho wa siku tunatengeneza madaktari feki.kama uwezo umeonekana ni wa kusoma nursing acha asome hiyo hiyo asije akadisco kwa kunga'nga'nia M.D.<span style="font-family: comic sans ms">Acheni kumlaumu mshkaji.Hiki kigezo cha muhimbili kwamba MD isomwe na form 6 aliyefaulu(moja kwa moja) masomo ya PCB,hakina maana kabisa.Mtu wa CBG anaweza kabisa kusoma MD kwani Chemistry&Biology ndiyo msingi hasa wa MDna Physics ni nyongeza tu na hata ya form 4 inatosha.Ningeelewa kwa PCM manake huyu hakufanya Biology form 5&6,hivyo hana msingi imara wa kumuwezesha kumudu MD.<br />
Dogo usikate tamaa.Jaribu kwenda kuwaomba kubadilisha,kama umefaulu vizuri lakini.Namaanisha kama una div one au 2 ya point 10.Kuna watu kama wewe anaweza kuwa kachaguliwa MD lakini anataka Nursing au Pharmacy,hivyo ikawa nafasi nzuri kwako kum replace.
all the best
Hayo ndiyo matokeo ya kujifanya mjanja na kukacha PhysicsNgugu wanajamii forum naomba kuuliza kama kunamtu amechaguliwa muhimbili kusomea doctor of medicine na cbg, nauliza kwasababu niliomba kama first choice hawaja nichagua bali wamenipangia nursing. Nafikiria nikifika niombe kubadilishiwa jee itawezekana?
hata ukichaguliwa pharmacy ni ngumu kuingia MD seuse CBG?is it possible kusoma MD in UK iwapo umesoma CBG,does it mean kila kinachofanywa kenya na Uganda na sisi tuige?mwisho wa siku tunatengeneza madaktari feki.kama uwezo umeonekana ni wa kusoma nursing acha asome hiyo hiyo asije akadisco kwa kunga'nga'nia M.D.