Kuna mtu aliyesoma Lugalo primary school (JESHINI)90-96...

Kuna mtu aliyesoma Lugalo primary school (JESHINI)90-96...

Kilemachocho

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2016
Posts
560
Reaction score
366
Wanajamvi nimekuwa nashauku ya kutaka kuonana na mtu aliyesoma shule twaja hapo juu kwenye miaka hiyo ya tisini.Milima haikutani ila binadamu hukutana
 
Mzee kabigi,kinyegori ,mwwlimu julias,mwalum stivin[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] geta mzee wa tableee bila kumsahau mwlm buchwa
 
Daaah umenikumbusha mbali miaka ya 97-98 walikuja walimu wanajeshi wadogodgo mbona tulikoma!
 
Stev yuko mirambooo sema makal kapunguza,kinyogor kapumzik ana umwa then julius yuko dodoma
 
Area j block number ngap mkuuu???? Mimi nimekaaa area c japo area j nimecheza sana huko
Niliishi Area C, pembeni ya Lugalo MP miaka ya 94/95! Nilibahatika kucheza na Watoto wa area D, J, nk! Tumechunga sana Mbuzi hadi huku Ardhi, kuna kaka yetu mmoja alikuwa akiitwa Savimbi! Kabigi nilimwogopa sana tu
 
Mzee kabigi,kinyegori ,mwwlimu julias,mwalum stivin[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] geta mzee wa tableee bila kumsahau mwlm buchwa
Bila kumsaau mwal Kafuku, Steven alikuwa mlokoe, julias alikuwa anafundisha la 5A,
 
f7a343d0276d77e99b0c68f17a2aff3f.jpg
 
Mimi pia nilisoma lugalo pale nimemaliza form IV 1991.
 
Back
Top Bottom