Kuna msanii ataaga label yake muda simrefu

brownboy

Senior Member
Joined
Jun 10, 2023
Posts
103
Reaction score
278
Habari nikuwa muda wowote kuanzia sasa tujiandandae kusikia msanii fulani wa label Moja kubwa hapa bongo kuachana na label yake na kwenda kujitegemea. Chanzo inasemekana ni ugomvi wa kimaslahi Kati ya msanii na uongozi wa label hiyo. Msanii Anadai hathaminiwi kama wasanii wenzake na kutopewa promo na push ya kutosha kusambaza kazi zake hapa nchini hivyo kumkwamisha kimaendeleo.

Mpaka sasa bado kuna mazungumzo huku label ikisisitiza Hawezi ondoka bila kulipa hela. Huku upande wa msanii unadai hawezi toa hela kwani hakugharamiwa kama jinsi mkataba wake unavyosema.
kwa staili hii hakuna mziki utakaoendelea hapa bongo.....
 
Unapendwa sana kufanyiwa matusi
 
Atakuwa lavalava
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…