Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,384
- 4,226
Mpox ama monkey pox. Ni homa inayotokana na nyani.
Inasemekana hadi sasa walioathirika ni 19,919 huku waliokufa 975 huko Congo.
Dalili zake upele, homa, mgongo kuuma, kukosa nguvu, kichwa kuuma, kuwashwa kwa koo.
Inaaambukizwa kwa kula nyama ya nyani alie na hatari hio, kugusana kawaida na hata kingono, kuguswa na materials kama shuka ,nguo zilio na hatari hio.
TUCHUKUE HATUA.
Inasemekana hadi sasa walioathirika ni 19,919 huku waliokufa 975 huko Congo.
Dalili zake upele, homa, mgongo kuuma, kukosa nguvu, kichwa kuuma, kuwashwa kwa koo.
Inaaambukizwa kwa kula nyama ya nyani alie na hatari hio, kugusana kawaida na hata kingono, kuguswa na materials kama shuka ,nguo zilio na hatari hio.
TUCHUKUE HATUA.