Picha ya wabunge wa CCM (Sophia Simba na Esther Bulaya) wakimkumbatia Rose Kamili (Chadema) jana mjini Dodoma, ambapo Kamili amefungua kesi ya kupinga ndoa ya Dr Slaa na Josephine Mshumbuzi hiyo jana.
Usiumize kichwa mkuu waache waendele kuruka sarakasi na taulo sebuleni........Wakili anayemtete Rose Kamili Ni Tadayo CCM pure na ndiye mwanasheria wa Membe, anaye mtetea Mahimbo ni Mgombea wa Udiwani Ubungo kwa Tiketi ya CCM akadondokea pua.Ukipitia Madai ya Rose kamili hata kwa mtu ambaye siyo mwanasheria ukiyaangalia unaweza kugundua mengi. :wacko:
Kuna rais aliyewahi kuchukua Utawala akioonyesha alikuwa bikra kabla ya ndoa yake?. Ama unataka tuseme vitu visiyvofaa hapa janvini maana sii mahala pale. Wee mwenyewe sii ama hukuwa bikra ulipofunga ndoa tuache siasa za kipuuzi..Uzinzi uzinzi uzinzi! laana juu ya laana juu ya laana. Kwa Kanoni, kwa Sharia, Kwa Sheria kote kote ayafanyayo Slaa ni uzinzi tu.
Huyo ndio kuna wachache wanaoona hilo si kosa wanataka awe Rais wa nchi hii? Dah!
Kuna rais aliyewahi kuchukua Utawala akioonyesha alikuwa bikra kabla ya ndoa yake?. Ama unataka tuseme vitu visiyvofaa hapa janvini maana sii mahala pale. Wee mwenyewe sii ama hukuwa bikra ulipofunga ndoa tuache siasa za kipuuzi..
Hakuna katika makosa makubwa kama kuiba mke/mume wa mtu. Hii ni aibu ya karne kwa mtu eti aliyetaka aingine magogoni!
1.Aligombea jimbo la hanang akapata idadi kubwa ya kura ,tena baada ya nyie magamba kuzichakachua.
2.aliwezesha kupatikana madiwani 12 kati ya 26(ccm 13 na cuf 1) ,sehemu iliyokuwa na diwani 1 tu wa upinzani(cdm)
3.alifanya kampeni kubwa Dr.Slaa akaongoza kura za urais jimbo la hanang ,hata baada ya uchakachuzi wenu mlishindwa kumaliza kuziiba ,hasahasa baada ya Mary nagu kuchanganyikiwa kupoteza jimbo akajikuta anaconcentrate zaidi kuchakachua zake za ubunge.
baada ya kuwa mbunge....
1.muulize January Makamba kwenye Ripoti yake kutathmini hali ya kisiasa nchini na CCm kwenye Kamati kuu aliwaambia nini kuhusu Rose Kamili baada ya kuwavua Magamba viongozi wa ccm manyara,diwani wa ccm endasaki na kuvunja serikali za vijiji zaidi ya 13 kwa kuwavua magamba wenyeviti wa hivyo vijiji.
2.kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani Endasaki alisimamia kampeni akachuku kata hiyo ,sasa hivi hanang anamadiwani 12.
3.muulize mwigulu nchemba kwenye kampeni Arumeru na Igunga Rose kamili aliwafanya nini kwenye kampeni za mtaa kwa mtaa ,nyumba kwa nyumba...ndiyo utaipata majibu yake.[/QUOTE
LIKE! Huyo mama ametoa mchango mkubwa kuijenga CDM mkoani Manyara hasa wilaya ya Hanang. Nadhani haya mambo tuwaachie wahusika wayamalize kwa njia za kistaarabu.
Mzinzi ni mtu anayetembea nje ya Ndoa - Iwe umeshaoa ama hujaoa. Au wewe mwenzetu una kiswahili tofauti na hicho...Nani anaeongolea ubikira hapa? Mbona hili la uzinzi mnalitetea sana, kiongozi mzinzi hafai hata kidogo.
Halafu kama hujui kuwa upadri una kigezo cha kutokufanya ngono, au ndio hicho kilichomfanya aondoke kwenye uongozi wa kanisa?
Naona wivu unakusumbua! Ulipigwa chini na Dr?Nani anaeongolea ubikira hapa? Mbona hili la uzinzi mnalitetea sana, kiongozi mzinzi hafai hata kidogo.
Halafu kama hujui kuwa upadri una kigezo cha kutokufanya ngono, au ndio hicho kilichomfanya aondoke kwenye uongozi wa kanisa?
Ndiye pia wakili wa kina mramba,Mgonja na yona kwenye ile kesi ya matumizi mabaya ya ofisi.Kiufupi huyu Jamaa ni CCM pure na alikuwa mgombea wa ubunge jimbo la Magembe anaalikuwa anaungwa mkono na Msuya. Ila mambo hayakwenda vizuri alipata ajali na katika ajali ile akampoteza mwanae mpendwa.Huyu wakili Tadayo pia ni wakili wa fisadi Yusuf Manji , yaani zao la ufisadi, ni kijana wa kipare na jaji Kaduri pia ni mpare na CCM damu.
Labda nikuulize wewe Rose Kamili alipewa ubunge kwa vigezo gani?
Anafukuzia u-first lady maana anajua 2015 Dr. wa ukweli anachukua nchi!!!Ina maana (rose kamili) alifunga ndoa na dr slaa? Na kama hakufunga ni nini kinamfanya ampinge slaa kufunga ndoa wakati hana uthibitisho wa ndoa?
1.Aligombea jimbo la hanang akapata idadi kubwa ya kura ,tena baada ya nyie magamba kuzichakachua.
2.aliwezesha kupatikana madiwani 12 kati ya 26(ccm 13 na cuf 1) ,sehemu iliyokuwa na diwani 1 tu wa upinzani(cdm)
3.alifanya kampeni kubwa Dr.Slaa akaongoza kura za urais jimbo la hanang ,hata baada ya uchakachuzi wenu mlishindwa kumaliza kuziiba ,hasahasa baada ya Mary nagu kuchanganyikiwa kupoteza jimbo akajikuta anaconcentrate zaidi kuchakachua zake za ubunge.
baada ya kuwa mbunge....
1.muulize January Makamba kwenye Ripoti yake kutathmini hali ya kisiasa nchini na CCm kwenye Kamati kuu aliwaambia nini kuhusu Rose Kamili baada ya kuwavua Magamba viongozi wa ccm manyara,diwani wa ccm endasaki na kuvunja serikali za vijiji zaidi ya 13 kwa kuwavua magamba wenyeviti wa hivyo vijiji.
2.kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani Endasaki alisimamia kampeni akachuku kata hiyo ,sasa hivi hanang anamadiwani 12.
3.muulize mwigulu nchemba kwenye kampeni Arumeru na Igunga Rose kamili aliwafanya nini kwenye kampeni za mtaa kwa mtaa ,nyumba kwa nyumba...ndiyo utaipata majibu yake.
Hakumpinga labda kwasababu kuu 3....Rose Kamili mbona hakumpinga Dr. Slaa kipindi cha uchaguzi au alikuwa anasubiri apate ubunge wa viti maalum ili aanzihe malumbano baadae! Mbinu zote za kudhoofisha chama na kuchafu viongozi hazitafanikiwa kwa jina la maslahi ya umma!
Mzinzi ni mtu anayetembea nje ya Ndoa - Iwe umeshaoa ama hujaoa. Au wewe mwenzetu una kiswahili tofauti na hicho...
ni wanawake lazima wateteane kupinga ufisadi wa mapenzi