Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,919
- 32,335
Kwa kweli ukiangalia swala ili Rose Kamili ana haki na kama Dr Slaa anataka kumuoa Josephine wamlipe Rose Kamili gharama zake.
Rose Kamali anasema walifunga ndoa na Dr Slaa 1985 mwaka 1987 walifanikiwa kupata mtoto wa kike anayeitwa Emiliana Muchu na baadae Sep 1988 walipata mtoto mwingine wa kiume anaitwa Linus Amsi..
Katika uhusiano wao Slaa, akiwa Padri alifanya taratibu zilizomwondosha katika Upadri na kuanza maisha ya familia, jamii yote iliwatambua kama mke na mume hata kumbukumbu za hati za kimataifa kama za kusafiria ziliwatambua wana ndoa.
Dr Slaa alimsaliti mwaka 2009 baada ya kuanza mahusiano na Josephine kinyume cha sheria. Kuanzia apo Dr Slaa akaitelekeza familia yake kwa kutoipatia huduma..
Pole sana Rose Kamili.
Rose Kamali anasema walifunga ndoa na Dr Slaa 1985 mwaka 1987 walifanikiwa kupata mtoto wa kike anayeitwa Emiliana Muchu na baadae Sep 1988 walipata mtoto mwingine wa kiume anaitwa Linus Amsi..
Katika uhusiano wao Slaa, akiwa Padri alifanya taratibu zilizomwondosha katika Upadri na kuanza maisha ya familia, jamii yote iliwatambua kama mke na mume hata kumbukumbu za hati za kimataifa kama za kusafiria ziliwatambua wana ndoa.
Dr Slaa alimsaliti mwaka 2009 baada ya kuanza mahusiano na Josephine kinyume cha sheria. Kuanzia apo Dr Slaa akaitelekeza familia yake kwa kutoipatia huduma..
Pole sana Rose Kamili.