Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Everyone is talking about this right now. The best answer we have is 24. How many squares do you see?
Mkuu rudia tena kuangalia vizuri!me naona kumi na sita tu
Duh!kweli nimeamini kila mtu ana mtazamo wake!Kuna squares 34
Duh!kweli nimeamini kila mtu ana mtazamo wake!
Mkuu umedadavua vizuri,jibu lako linashawishi!ngoja tumsubiri MziziMkavu aje na jibu lake!Hiyo 16 yako ni square ndogo tu, kuna kubwa 4, ambazo zapatikana ukizigawa hizo 16 kwa 4, kuna kubwa 1, kuna vidogo vile ndani 8 na 2, pia kuna nyingine 3 ukiangalia kwa makini.
Tafsiri yako ipo sawa na ile ya miss neddy,wenzetu mmehesabuje?Mistari ya miraba ipo 16 tu.
Duh!this is too much!Squares ziko 40 mkuu
Tafsiri yako ipo sawa na ile ya miss neddy,wenzetu mmehesabuje?
Mkuu kwahiyo ipo 17?kaka lazima ujue mraba una umbo gani ili uweze kujidhihirisha na majibu yako.
Halafu pia nahisi kuna miraba 16 kwa ndani + 1 ambao ni huo wa nje.
Mkuu niandike nini huko google ili nipate ukweli?Mkuu ndo jibu sahihi hilo nenda google utaiona video si 2lishasanuka kitambo
Mkuu kwahiyo ipo 17?