Kuna milindimbo ya risasi nimeisikia Mbezi Beach

Kuna milindimbo ya risasi nimeisikia Mbezi Beach

Hizo zinalia Ukrain si unajua mbe!o beach karibu ma Ukraine 😬
 
Wakuu.

Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Take cover brother! Put your head down,lie down you will be safe! Lock your doors AK-47 asault rifle is dynamic machine gun.cold, hot and wet season it fires efficiently,100m maximum impact on target
 
Wakuu.

Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Nimeshtuka sana nilidhani ni Lugalo Barracks, kumbe huko Makonde, African huko. Huko acha zilindime zikiisha kwenye magazine milindimo nayo kwisha.
 
Kitu chochote cha public ndivyo kilivyo, na huo ndo uhuru wa maoni.
You might be right, but uhuru should be used with akili! Unadhani lingelikuwa gazeti mhariri angelindika upuuzi ule kesho akapata soko?
 
You might be right, but uhuru should be used with akili! Unadhani lingelikuwa gazeti mhariri angelindika upuuzi ule kesho akapata soko?

Uhuru wa maoni wa mtu asiye na akili ndo huo.
 
Kama ni risasi kweli, subiri taarifa kamili toka kwa mamlaka husika
 
Nimeshtuka sana nilidhani ni Lugalo Barracks, kumbe huko Makonde, African huko. Huko acha zilindime zikiisha kwenye magazine milindimo nayo kwisha.
Eeh! Hivi huko Mbezi Beach uzunguni kabisa kuna mitaa inaitwa Makonde na Afrikana!!!!? Badala ya Tarimo-burg, Massawe-shire, Onyango-berg, Ruta-york, Otieno-ford, baghosha!?
 
Eeh! Hivi huko Mbezi Beach uzunguni kabisa kuna mitaa inaitwa Makonde na Afrikana!!!!? Badala ya Tarimo-burg, Massawe-shire, Onyango-berg, Ruta-york, Otieno-ford, baghosha!?
Ukienda Moshi ndo utacheka. Kuna sehemu unaitwa Shant Town utadhani wanaishi makabwela kumbe wanaishi matajiri asilimia kubwa
 
Take cover brother! Put your head down,lie down you will be safe! Lock your doors AK-47 asault rifle is dynamic machine gun.cold, hot and wet season it fires efficiently,100m maximum impact on target
Umeongea kitaalam sana mkuu
 
Back
Top Bottom