nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,011
- 1,915
Wakuu.
Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Majambazi labda maana yamerudi kwa kasi sana awamu ya sita hiiWakuu.
Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Daah, yule mama aliniacha hoi Bukoba na zoezi lake la utayari ajali ya ndege.Watasema walikuwa kwenye zoezi la utayari. Ngoja waje.
Mimi ndio nimezipiga Mzee usiwe na wasiwasi tunashangilia ushindi wa Raja casablancaWakuu.
Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
Basi samia ajengewe sanamuMajambazi labda maana yamerudi kwa kasi sana awamu ya sita hii
USSR
😅😅😅Atakuwa Mollel kalewa nyagi!
Mama anaupiga mwingi awamu ya 6 [emoji16][emoji23][emoji38]Majambazi labda maana yamerudi kwa kasi sana awamu ya sita hii
USSR
Majini yanajambaWakuu.
Nasikia milio ya Risasi mitaa ya mbezi beach Rain bow kuna nini wakuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnafikiriaga Nini haya majibu wakuu?Shabiki wa simba alibet mke
Hii nchi ya aina yake yaaanItakua wazee wa kunyonga kutumia kyupi wanafanya yao