Kuna 'michepuko' huwezi kuiacha, 'never'

sasa ndo sauti hii inakubembeleza uikulee.....weeeehh mweeeh
 
Kweli mbwa kala mbwa mkuu!
 
Madawa hayo [emoji23][emoji23][emoji23] chezea michepuko.
 
Unajitesa bure, ww oa tu awe mke wa pili...

Maana hutukuumbwa kua na mke mmoja ila mama mmoja tu
 
mkuu unenalo ni ukweli mtupu...nina kamchepuko tangu kakiwa frm 2,mpaka nimeoa lakini kila nikikumbuka kanavyonikojozaga......huu mwaka wa 10 nimechemka kukapiga chini... imebidi nikape tu mtaji...kafanye maisha...
yaani muda wowote na popote nikitaka ....ili mradi mazingira ni ya faragha tuu...
nahisi hapo ndio niliponasia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…