[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaaa umenichekesha sana jinsi ulivyohadithiaKuna michepuko haiachiki. Kila ukijaribu tu image ikija unajipeleka. Utakuta mdada ana kila idara unayoihitaji, yaani kila utakacho unapatiwa.
Yaani ile unapanga visa na mikasa balaa ya kumuacha, ukimuona tu, mipango yote ya medani za kivita za Kim Jong Un unatupa kando.
Sasa ile sauti yake "Baby, leo nikupe nini wangu? " unahisi kama upo Paradiso.
Sasa acha ajaribu kukugusa, oooh! Ramani nzima ya vita unamkabidhi. Utashangaa miaka inapita, unachepuka tuu! Ukijifanya kuvaa miguu ya usain Bolt, eti utoke nduki, akikutext tu, utarudi fasta Mbeya hata kama ushafika Msamvu Moro.
Kuna watoto wameumbwa jamani, nitatoka kweli?
Nisaidieni mwenzenu mbinu mpya !View attachment 768449View attachment 768450
Hahaha na kweli ila ukishakuwa Mrs utakutana nayo tu kama si Leo basi yako njiani yatafika kesho au keshokutwaCheka tu ndo hivyo usiombe yakukute
Kuna michepuko wana play role za wakeBAK mke si sawa na mchepuko na ndio maana kuna mchepuko na njia kuu.
Siku zote mambo yakiwa yamekaa vibaya kimbilio ni mke sio mchepuko, ukiumwa nusu ya kufa mbio kwa mke, umekamatwa una kesi mtabanana na mke yaani ukitaka kujua nguvu ya mke angalia wakati wa matatizo. Huna hela hata kumi huyooo kwa mkeo sio kwa mchepuko.
Mchepuko unajifanya kukuthamini unapokuwa well off tu
He! Shem, hilo nalo neno. Kweli Leo j'piliTubu na kuiamini injili
Japo injili ya leo imehimiza UPENDO.He! Shem, hilo nalo neno. Kweli Leo j'pili
Wasingeitwa michepuko wangeitwa wake. Njia kuu sio sawa na mchepukoKuna michepuko wana play role za wake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unadhan atajibu cha maana sasaUkweli mchungu...akikujibu unitag.
Watu kama hawa wakifa uzuri tukiwafukia tuu baaaasi...kumbukumbu lao hutoweka mara moja..Hahaha unamuombea asife kwanza akutane na karma imuonyeshe how the world is pumbavuu
Kuna mijanaume haisikii mkuu unaongea nae katika hali zote kwa upole,unyenyekevu na wakati mwingine ukali,ukiwa na nguo na wakati mwingine ukiwa huna nguo na bado haelewi unamfanyaje sasa kwa mfano eeHii sasa ni kuombeana upupu! Kwa nini usimuombee aache b4 kukutwa na majanga?
".. . Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe" akainama huku akichora chini! Mara wale makutano wakaanza kuondoka, kuanzia mdogo hadi mzee!!Watu kama hawa wakifa uzuri tukiwafukia tuu baaaasi...kumbukumbu lao hutoweka mara moja..
Mapenzi yana sumu Kali mnooWatu kama hawa wakifa uzuri tukiwafukia tuu baaaasi...kumbukumbu lao hutoweka mara moja..
Mmh[emoji16][emoji16][emoji16]Mapenzi yana sumu Kali mnoo
Sawa kakaa[emoji23] [emoji57] [emoji57]Wasingeitwa michepuko wangeitwa wake. Njia kuu sio sawa na mchepuko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108]Mmh[emoji16][emoji16][emoji16]
Still waadilifu na waaminifu wapo tu...!Hahaha na kweli ila ukishakuwa Mrs utakutana nayo tu kama si Leo basi yako njiani yatafika kesho au keshokutwa
Pambe tyuuu[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108]