Kuna mgomo wa wauza mafuta?

Kuna mgomo wa wauza mafuta?

Nilitoa ushauri hapa kwa Mods kuwa wale watu wote ambao sio GT kwenye JF waondolewe haraka kwani wanatuaibisha na wengine kuonekana km wao kumbe sivyo, na narudia tena kumuomba Mods alitekeleze hili.

Mafuta yapo bandarini yakutosha siku 32, mie jana mwenyewe nimepita kurasini depo kule na kukuta magari ya mafuta yapo kwenye foleni kupakia mafuta.

Fanya tafiti sio kubwabwaja tu humu ndani unatuaibisha sana wengine
 
mafuta yanapatikana katika baadhi ya vituo, mfano BP kuna mafuta ila tatizo ni foleni ndefu sana.
ukiangalia kwa vituo ambavyo wanaingiza mafuta wenyewe tunategemea wawe na mafuta ila kwa wale wanaonunua kwa hawa wanaoingiza mafutan kwa kweli wana haki ya kutouza maana wao wanategemea bei itangazwe na uwura ndio nao wakanunue mafuta kwa wanaoingiza. kazi inakuja sasa kwa wale wanaonunua kwa hawa waingizaji na wao wakiwa na kiasi fiulani cha mafuta ambayo walinunua kwa bei ghali..
nadhani hili swala liangaliwe vema na upya serikali ioneshe kuwa inaweza kufanya maamuzi kutokana na taratibu, sheria na kanuni.
 
yeye kwani ni mnunuzi wa mafuta hadi ajisikie vibaya nyie mtamalizana wenyewe lakini mjomba jk akuu kwake safi tu na hili swala mkimuuliza tu utasikia tutaunda tume tulichunguze halafu siku zote huwa tume haileti majibu ya kile walichokifanyia kazi..

RIP Tz..
 
mafuta yanapatikana katika baadhi ya vituo, mfano BP kuna mafuta ila tatizo ni foleni ndefu sana.
ukiangalia kwa vituo ambavyo wanaingiza mafuta wenyewe tunategemea wawe na mafuta ila kwa wale wanaonunua kwa hawa wanaoingiza mafutan kwa kweli wana haki ya kutouza maana wao wanategemea bei itangazwe na uwura ndio nao wakanunue mafuta kwa wanaoingiza. kazi inakuja sasa kwa wale wanaonunua kwa hawa waingizaji na wao wakiwa na kiasi fiulani cha mafuta ambayo walinunua kwa bei ghali..
nadhani hili swala liangaliwe vema na upya serikali ioneshe kuwa inaweza kufanya maamuzi kutokana na taratibu, sheria na kanuni.

Usawa wa haki wa kutopata hasara wa hivyo haupo, cha maana hao wanunuao kwa wengine nao wauze kwa bei mpya kwani siku za baadaye bei ikipanda pia nao hawatalazimika kuuza bei ya chini.
 
Usawa wa haki wa kutopata hasara wa hivyo haupo, cha maana hao wanunuao kwa wengine nao wauze kwa bei mpya kwani siku za baadaye bei ikipanda pia nao hawatalazimika kuuza bei ya chini.
Huu mpango kwa kucontrol price matokeo yake ndio haya.. Let the market determine the price.
 
Mafuta yapo bandarini yakutosha siku 32, mie jana mwenyewe nimepita kurasini depo kule na kukuta magari ya mafuta yapo kwenye foleni kupakia mafuta.

Fanya tafiti sio kubwabwaja tu humu ndani unatuaibisha sana wengine
Kupita kurasini na kuona magari ya mafuta ndo utafiti...!!?? Hapa we ndo unabwabwaja mbona jinibreni!!
 
.....Msanii Kikwete hahusiki kabisa na hili tatizo la petroli kulanguliwa....Kuhusu tatizo hili mtafuteni Ngeleja au naibu wake Malima.... hii kauli inaweza kutolewa na ofisi ya mawasiliano ya Ikulu....Madudu kila siku ndani ya nchi yetu na hakuna hata anayewajibishwa kwa kushindwa kazi.

ati mtoto wa kigogo anahusika kuhamasisha mgomo!inaelezwa anahisa ktk makampuni ya mafuta!anayejua amtaje wakuu!source mwananchi.
 
Wanabodi tuwe makini, sheria ya magazeti ya mwaka 1976 ikitumika ipasavyo, jf tunaweza kufungiwa kwa kuuita serikali legelege!.

acha unafki wewe..mara umesema tusitaje dicteta mara legelege. Au ww ndio una mpango wa kuishtaki jf ili ifungiwe...then unajipendekeza tuwe makini .
 
Wanabodi tuwe makini, sheria ya magazeti ya mwaka 1976 ikitumika ipasavyo, jf tunaweza kufungiwa kwa kuuita serikali legelege!.
Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!

Hii serikali haitujali, kama suala hili la mafuta Jumapili nimepita sheli kuanzia Kimara Baruti nimekuja kupata mafuta Buguruni tena kwa kupanga foleni ndefu, vituo vyote hapo kati havina mafuta!!

Kama BP ndo sheli zao zote zilikuwa hazina mafuta.
 
walalamikaji utawajua tu.serikali imeshusha bei ya mafuta ili wananchi wa kawaida waweze ku afford kuendesha maisha yao,wewe badala ya kuwalaani hao wahujum uchumi wanaoficha mafuta unailalamikia serikali iliyoteremsha bei ya mafuta..........
hii tabia ya kulalamika lalamikakule kijijini kwetu tunaiita uvivu wa kufikiri na utegemezi wa mawazo.tubadilike,hiyo tabia wanasaikolojia wanasema ni ya kike kike,take care of ur self plz.
 
Hata kama tutanyamaza, vitisho vyenu havitaathiri nguvu ya umma.

Sukari ya 1,700 inauzwa 2,500 tusiseme?
 
walalamikaji utawajua tu.serikali imeshusha bei ya mafuta ili wananchi wa kawaida waweze ku afford kuendesha maisha yao,wewe badala ya kuwalaani hao wahujum uchumi wanaoficha mafuta unailalamikia serikali iliyoteremsha bei ya mafuta..........
hii tabia ya kulalamika lalamikakule kijijini kwetu tunaiita uvivu wa kufikiri na utegemezi wa mawazo.tubadilike,hiyo tabia wanasaikolojia wanasema ni ya kike kike,take care of ur self plz.

Kwa hiyo hao wanaoficha mafuta na kusababisha adha kubwa kwa wananchi wachukuliwe hatu na nani

Fikiri kwa kutumia ubongo wa kulia na kushoto!
 
Mafuta hakuna na umeme pia hakuna!

Sasa wenye feza zetu tukanunua majenereta tutayatia nini ili walau tuweze kufanya mauzo ili walau tuweze kupata japo pesa ya kulipa kodi ya serikali ili walau waweze kupata za kuzifisadi?

Maana tusipolipa kodi watazitoa wapi?
 
Nilitoa ushauri hapa kwa Mods kuwa wale watu wote ambao sio GT kwenye JF waondolewe haraka kwani wanatuaibisha na wengine kuonekana km wao kumbe sivyo, na narudia tena kumuomba Mods alitekeleze hili.

Mafuta yapo bandarini yakutosha siku 32, mie jana mwenyewe nimepita kurasini depo kule na kukuta magari ya mafuta yapo kwenye foleni kupakia mafuta.

Fanya tafiti sio kubwabwaja tu humu ndani unatuaibisha sana wengine

Kwa mtaji huu inaelekea wewe ndiye utakuwa mtu wa kwanza kupigwa buti humu!!!
 
Kwa hiyo hao wanaoficha mafuta na kusababisha adha kubwa kwa wananchi wachukuliwe hatu na nani

Fikiri kwa kutumia ubongo wa kulia na kushoto!
Nani amekwambia hawachukuliwi hatua......hao waliogoma majuzi na kufungiwa walichukuliwa hatua nani?alikuwa mjomba ako?acha porojo wewe kawadanganye kijijini sio sisi.
 
Always, when I looks at his face, Haruna Masabo, I am asking myself, whover appointed this guy, was he serious?

The guy is not serious and he do not know what he should do. All other sectors have been liberalised, wananchi wanapigwa bei kwa kwenda mbele, how come mafuta yawe issue? Na bei yenyewe wanayoshusha sasa does not deserve all this suffering.

Mr Haruna, wake up, unaweka usiku.
 
Back
Top Bottom